dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
SawaUza tu mkuu
Ngoja mi mwenye hela nikawahiBaby walker katika ubora wake.... Ni kazuri. Subiri wenye pesa waje...
Mkuu ongeza kidogo ila kama vipi uione gari kwanza6 mkuu vipi?
Ha haa! Kiwahi uje unipe lift dear...Ngoja mi mwenye hela nikawahi
Karibu sana ndgNgoja mi mwenye hela nikawahi
Itunze hadi baada ya miaka 4 hivi unaweza kuipataKuna nne hapa ya haraka kabisa.
Mkuu nipigie tuongee6 mkuu vipi?