Ila passo inadharaulika sana sijui why?ingekuwa vits hapo umeshauza
Hiyo hiyo iko juu ....... passo aliyei design sijui anajisikiaje huko aliko[emoji1][emoji1] nimeambiwa Vitz Old model late version ile yenye taa ya kijicho ndio mpango mzima.
Ushaniharibia maana nilikuwa na 3 cashNdugu NAREI,nina 3,500,000 cash,tafadhali njoo PM tuyajenge
"Haina changamoto yeyote". Huu ni uongo. Kwanini huwa mnapenda kuwa waongo waongo lakini?Maongezi yapo kidogo
Huo "UONGO" unaomaanisha wew ni upi ?"Haina changamoto yeyote". Huu ni uongo. Kwanini huwa mnapenda kuwa waongo waongo lakini?
JESUS IS LORD