Toyota PASSO RACY

baba1234

Member
Joined
Aug 15, 2018
Posts
9
Reaction score
3
Wakuu natumai mko poa kabsa na mnasonga mbele kimaisha.

Napenda muundo wa passo Racy lakini too bad sion thread yoyote ikizungumzia hizi gari. Wengi mnaongelea passo 3piston na 4.

Mnaonaje wajuzi mzidadavue hapa kwa faida ya jf members.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu we hiyo gari kainunue kama umeipenda.Huku huwezi kupata wadadavuaji wa model hiyo.
Wadu wanaisoma na kuipita thread yako.Ila ni gari zuri hasa kwa hii hali ya sasa ya fedha kuadimika.
 
Hahahah unataka kuishi kwenye passo mzee baba? Kama tatizo mafuta tulia kwenye fielder ya 2008 walau inaaangalika.
 
Hahahah unataka kuishi kwenye passo mzee baba? Kama tatizo mafuta tulia kwenye fielder ya 2008 walau inaaangalika.
mkuu naona wengi hawazijua Paso Racy anazozungumzia mleta mada

hii sio paso ya kawaida iliyozoeleka ..hii ni paso toleo la TRD najua we mjanja utakuwa umeshajua toyota ikiwa TRD inakuwaje

hizi zipo mor advanced kwanzia suspension... engine.. hadi transimion na zote nilizokutana nazo zilikuwa ni MT na kuna moja kati yao ilikuwa powered by boosted NZ engine wit FMIC it was a bad ass rat... quicker and very powerful
 
TRD - Toyota Racing Development
Hapo sina shaka engine ni more powerful na mbio ipo! Hio kit ya TRD ni for sporting.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…