Nichumu Nibebike JF-Expert Member Joined Aug 28, 2016 Posts 8,658 Reaction score 15,793 Jul 16, 2017 #41 Gari namba A kwa milioni 22 kipindi hiki cha Magufuli? Ngoja wenye pesa zao waje...
Royals JF-Expert Member Joined Nov 19, 2011 Posts 1,466 Reaction score 378 Jul 16, 2017 #42 Watu kwa kusumbua hawajambo. Hii ni biashara kama unaona haikufai maneno ya nini, kwani mnelazimishwa kuinunua?
Watu kwa kusumbua hawajambo. Hii ni biashara kama unaona haikufai maneno ya nini, kwani mnelazimishwa kuinunua?
B Baba Jazey JF-Expert Member Joined Apr 14, 2016 Posts 500 Reaction score 556 Jul 16, 2017 #43 Jumaa umejitahid sana kutunza Gari, wajamani tusikariri kununua Gari kwa kuangalia namba
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 Jul 17, 2017 Thread starter #44 Nichumu Nibebike said: Gari namba A kwa milioni 22 kipindi hiki cha Magufuli? Ngoja wenye pesa zao waje... Click to expand... Nipe ushauri ni iuze bei gani? Maana yawezekana nimepitwa na wakati. Mobile Traveller
Nichumu Nibebike said: Gari namba A kwa milioni 22 kipindi hiki cha Magufuli? Ngoja wenye pesa zao waje... Click to expand... Nipe ushauri ni iuze bei gani? Maana yawezekana nimepitwa na wakati. Mobile Traveller