Toyota Premio: inafaa kwa Taxi?

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Wakuu kama mjuavyo vyuma vimekaza Kiukwel. Nafikiria kujiongeza kwenye biashara ya Taxi je Toyota Premio (pichani) inafaa kwa shughuli tajwa? Ulaji wake wa mafuta, spea n.k. natanguliza shukrani.
1790cc....engine...DBA TR.
**Toyota Premio (si Premier)
 

Attachments

  • BF812700_2ad457.jpg
    28.2 KB · Views: 174
  • BF812700_2b3932.jpg
    27.7 KB · Views: 164
  • BF812700_131b71.jpg
    43.7 KB · Views: 154
  • BF812700_19517a.jpg
    25.3 KB · Views: 150
Asanteni wandugu. Hii gari nimeipendea muonekano pia naona ni rahisi kuuzika siku nimefulia tofaut na nikichukua Nissan Xtrail
 
Kama ukiendesha mwenyewe ni nzuri tu kiongozi kwani hizo gari nyingi enjini zake ni vvti ambapo kwenye wese si haba, ukishindwa liingize kwenye biashara ya uber, usiogope maneno ya watu mzee, Kuna watu wengine wapo kwa Ajili ya kukatisha tamaa watu, tax ukiendesha mwenyewe inalipa vizuri Sana
 
Usiweke tax mzee,iweke uber ina pesa zaidi na ipo kidigitali,utafaidi mwenyewe! Miezi 10 tu tayari umesharudisha hela ya gari ambapo unaweza kununua jingine jipya!! Kama upo nalo nipm nikupe dereva aliesajiliwa uber
 
Usiweke tax mzee,iweke uber ina pesa zaidi na ipo kidigitali,utafaidi mwenyewe! Miezi 10 tu tayari umesharudisha hela ya gari ambapo unaweza kununua jingine jipya!! Kama upo nalo nipm nikupe dereva aliesajiliwa uber
Mkuu hesabu ni kiasi gani kwa siku dereva analeta??
 
Kweli buana,laki mbili mara week 40 na kitu inakupa 8M na ushee
Halafu ipo digital hyo laki mbili hupewi mkononi unampa dereva account number yako ya bank anadeposit tu! Pay in slip anatunza kama kumbukumbu na ushahidi wa malipo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…