Toyota premio Vs Toyota Allion c.c 1790 kwa zote

Toyota premio Vs Toyota Allion c.c 1790 kwa zote

Eli24

Senior Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
165
Reaction score
364
Hv kati ya gar hzi mbili. Ipi n gari imara na nzuri kutumia...
 
Hakuna tofauti hapo zaidi ya bodi na muonekano
 
Hizo gari ni almost sawa. Sema Allion imekaa ki-sport (ujana) na premio imekaa ki-utu uzima.
 
2052cacfa7397cefe09827e3be64ed45.jpg
8f1cbfebd5ec28ac0096e67ccb54d403.jpg
59f543e0b4cda4b278b8f4a5b631475c.jpg
a48d30fae9d47b5fe836e8220f395247.jpg
43f1c0f0a5ede4f31b8a23fd7a82171b.jpg
c7164ec326aed10d848bdfc57ee623d8.jpg


Nauza nina dharura ya hela ndani ya week hii just 8.5M iko in good conditions

Call me 0625962883
 
Kununua kigari cha cc 1790 ni bora ununue za 1990 kama GX, Subaru nk nk nk.... ukishindwa hizo nenda kanunua kivits, kipasso au ki IST
 
Ukiagiza kupitia Beforward kwenye BF Supported I.D weka 500291 utapata punguzo kwenye gharama za kununua gari
 
Back
Top Bottom