Car4Sale Toyota Raum old inauzwa 8ml

Car4Sale Toyota Raum old inauzwa 8ml

meruly

Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
56
Reaction score
50
Nauza Toyota Raum old kwa 8ml.
Gari liko Tabata liko vizuri sana mkoa nia ujaza full tank zako nakutembea.

Mawasiliano 0758 350 943

9504132A-E0C8-4248-ADD6-7B08363EE9B7.jpeg
61552614-0652-481D-997D-F6BE546CBAE9.jpeg
5E86D940-A441-4423-8C9F-FE9C2E2AA76D.jpeg
33E417F5-4F0C-49A8-B3FA-74D0438B50CA.jpeg
05976F54-BE19-4374-A0DC-8E0E6746A05D.jpeg
 
Old Model kwa M8 parefu sana Chief. Tangaza biashara halisia ili uvutie wateja wengi.
 
Unangapi boss Gari kali sana mkuu kama uko serious piga simu tuyajenge,hakuna udalali.
Kama Upo tiyari kuna 6M ndani ya hii week, Naamini gari haina tatizo wala madai yoyote
 
Tatizo la bongo ukitafuta kitu bei juu ukitaka kuuza bei chini nfano nilinunua kiwanja last year 5m badae nikabadili mawazo nikatumia njia zile zile nilizotumia kukipata hadi leo mwaka wateje wanafika 3.5m hata bei ya manunuzi imeshindikana,bongo ujanja unja mwingi sana.
 
Tatizo la bongo ukitafuta kitu bei juu ukitaka kuuza bei chini nfano nilinunua kiwanja last year 5m badae nikabadili mawazo nikatumia njia zile zile nilizotumia kukipata hadi leo mwaka wateje wanafika 3.5m hata bei ya manunuzi imeshindikana,bongo ujanja unja mwingi sana.
Kiwanja kiko wapi na kina ukubwa Gani? Huenda value yake ilikuwa 2m madalali wakakupiga zaidi ya 3m
 
Tatizo la bongo ukitafuta kitu bei juu ukitaka kuuza bei chini nfano nilinunua kiwanja last year 5m badae nikabadili mawazo nikatumia njia zile zile nilizotumia kukipata hadi leo mwaka wateje wanafika 3.5m hata bei ya manunuzi imeshindikana,bongo ujanja unja mwingi sana.
Ichukue hii Raum bando mzima kabaisa
 
Tatizo watu wanajipangia bei za kulenga ukijichanganya ukauza hizo bei zao 6.5 kesho ukimwambia nalittaka anakumbia bei hadi unajipiga kifuani unasema kweli mimi fala.
 
Tatizo watu wanajipangia bei za kulenga ukijichanganya ukauza hizo bei zao 6.5 kesho ukimwambia nalittaka anakumbia bei hadi unajipiga kifuani unasema kweli mimi fala.
Ndo Hali la soko la bongo mkuu, milioni 8 ukiwa nayo cash kwa dsm hapo utaletewa magari mpaka utachoka, mtu akiwa na milioni 8 namshauri tu avute premio aisee
 
Back
Top Bottom