Car4Sale Toyota Rush

Car4Sale Toyota Rush

Joined
May 23, 2018
Posts
70
Reaction score
19
Toyota Rush
Year---2006
Engine---1490cc
Drive---2wd
Other option---AW RS FOG HID BT NV P-START
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
BEI---20.9mil
{unaweza kulipia awamu mbili}
Malipo ya kwanza---10.8mil
[emoji338][emoji336]0715558258
01%20(74).jpeg
02%20(52).jpeg
03%20(55).jpeg
04%20(47).jpeg
 
kuna siku karifuata na mnyama gx 110 toka singida dar root za usiku 120-160km /hrs sijui alivyofika kama hakubadili engine.
kwa sababu kuna magari ukifuata speed ukimaliza safari lazima ubadili na engine kabisa. otherwise kipo vizuri kigari kina kimbia pia kwaa sisi tunaopenda mambio.
 
kuna siku karifuata na mnyama gx 110 toka singida dar root za usiku 120-160km /hrs sijui alivyofika kama hakubadili engine.
kwa sababu kuna magari ukifuata speed ukimaliza safari lazima ubadili na engine kabisa. otherwise kipo vizuri kigari kina kimbia pia kwaa sisi tunaopenda mambio.
Sijaelewa bado ngoja nisome upya au nigeuze simu
 
Aliyezuia bhange na viroba kwa vijana wetu aliona mbali sana,kijana kujibu hoja hawezi zaidi ya kejeli.
kwahiyo challenge kwako ni kejeri.? basi unashida mkuu acha kupanic sasa kwani kila binadamu ana matundu mangapi?
 
kwahiyo challenge kwako ni kejeri.? basi unashida mkuu acha kupanic sasa kwani kila binadamu ana matundu mangapi?
Tanzania ya viwanda haipo kamwe kama kipimo cha i.q au challenge ni hiko hapo juu??
Mada inazungumzia nini??
Comment yako ya kwanza uliandikaje??irudie soma upya.
Habari za matundu kwenye mwili wa binadamu ndio mada inavosema??
 
Tanzania ya viwanda haipo kamwe kama kipimo cha i.q au challenge ni hiko hapo juu??
Mada inazungumzia nini??
Comment yako ya kwanza uliandikaje??irudie soma upya.
Habari za matundu kwenye mwili wa binadamu ndio mada inavosema??


hiyo yote ni kupima stability yako kama unaweza kupotezwa kwenye point na kurudi stable
au utaishia kulia lia tuu
 
  • Thanks
Reactions: y-n
kuna siku karifuata na mnyama gx 110 toka singida dar root za usiku 120-160km /hrs sijui alivyofika kama hakubadili engine.
kwa sababu kuna magari ukifuata speed ukimaliza safari lazima ubadili na engine kabisa. otherwise kipo vizuri kigari kina kimbia pia kwaa sisi tunaopenda mambio.

Mkuu fika kwanza unakoenda ndio uandike tena
 
Back
Top Bottom