Kenned elisante
Member
- May 23, 2018
- 70
- 19
Yaa rush zipo Juuaisee kumbe Rush ni bei kiasi hicho....
Yaa rush zipo Juu
Sijaelewa bado ngoja nisome upya au nigeuze simukuna siku karifuata na mnyama gx 110 toka singida dar root za usiku 120-160km /hrs sijui alivyofika kama hakubadili engine.
kwa sababu kuna magari ukifuata speed ukimaliza safari lazima ubadili na engine kabisa. otherwise kipo vizuri kigari kina kimbia pia kwaa sisi tunaopenda mambio.
kwani wewe una mashimo zaidi ya saba kwenye mwili wako mkuu.Sijaelewa bado ngoja nisome upya au nigeuze simu
Aliyezuia bhange na viroba kwa vijana wetu aliona mbali sana,kijana kujibu hoja hawezi zaidi ya kejeli.kwani wewe una mashimo zaidi ya saba kwenye mwili wako mkuu.
kwahiyo challenge kwako ni kejeri.? basi unashida mkuu acha kupanic sasa kwani kila binadamu ana matundu mangapi?Aliyezuia bhange na viroba kwa vijana wetu aliona mbali sana,kijana kujibu hoja hawezi zaidi ya kejeli.
Tanzania ya viwanda haipo kamwe kama kipimo cha i.q au challenge ni hiko hapo juu??kwahiyo challenge kwako ni kejeri.? basi unashida mkuu acha kupanic sasa kwani kila binadamu ana matundu mangapi?
Tanzania ya viwanda haipo kamwe kama kipimo cha i.q au challenge ni hiko hapo juu??
Mada inazungumzia nini??
Comment yako ya kwanza uliandikaje??irudie soma upya.
Habari za matundu kwenye mwili wa binadamu ndio mada inavosema??
Umegundua nini??hiyo yote ni kupima stability yako kama unaweza kupotezwa kwenye point na kurudi stable
au utaishia kulia lia tuu
[emoji28][emoji28] hata mimi comradeSijaelewa bado ngoja nisome upya au nigeuze simu
Haaa aaha[emoji28][emoji28] hata mimi comrade
Mimi nimeitikisa tikisa naona maandishi yanagoma kuelewekaHaaa aaha
Nawewe umegeuza simu kwanza??
Itumbukize kwenye maji hata dakika ishirini,vijana wanachokifanya kwa wazee hakivumiliki aiseeMimi nimeitikisa tikisa naona maandishi yanagoma kueleweka
kuna siku karifuata na mnyama gx 110 toka singida dar root za usiku 120-160km /hrs sijui alivyofika kama hakubadili engine.
kwa sababu kuna magari ukifuata speed ukimaliza safari lazima ubadili na engine kabisa. otherwise kipo vizuri kigari kina kimbia pia kwaa sisi tunaopenda mambio.