Toyota Spacio inatoa mlio mbaya mafundi wananilia hela ya oil pump na spark plug

Toyota Spacio inatoa mlio mbaya mafundi wananilia hela ya oil pump na spark plug

Mshangazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,143
Reaction score
4,462
Wakuu mara ya mwisho mwezi wa 8 tarehe 24. Nimebadili oil zote mbili pamoja na ile ya transmission. Pamoja na spark plug fundi alitaka ziwekwe mpya.

Then leo tena muda huu gari imeanza tena kutoa muungurumo mkali na imekuwa nzito. Mara ya 4 hii sasa kwa mwaka huu.

Nisaidieni wakuu kwa anayejua kuhusu hizo oil pump na kupiga kelele kwa gari hata kama nimekanyaga acceralator kidogo tu.

Nimewasiliana na Toyota wananambia mpaka jumatatu ndo wanakuwa open. Am tired!
 
Sijajua upo mkoa gani Ila kama upo DAR nenda mitaa ya shaurimoyo au tabata matumbi utakutana na mafundi waziri...
Mafundi wetu hawa kazi Yao ni kubet Tu kwenye ufundi wao
 
Wakuu mara ya mwisho mwezi wa 8 tarehe 24. Nimebadili oil zote mbili pamoja na ile ya transmission. Pamoja na spark plug fundi alitaka ziwekwe mpya.

Then leo tena muda huu gari imeanza tena kutoa muungurumo mkali na imekuwa nzito. Mara ya 4 hii sasa kwa mwaka huu.

Nisaidieni wakuu kwa anayejua kuhusu hizo oil pump na kupiga kelele kwa gari hata kama nimekanyaga acceralator kidogo tu.

Nimewasiliana na Toyota wananambia mpaka jumatatu ndo wanakuwa open. Am tired!
Nenda pale kwenye cleaner fungua oksijen sensor

Safishaa /weka mpyaaa utanishukuruuu mkuuu

Toyota watakusumbua bure na hawatokusadia kitu watakulia prsa tuu
 
Back
Top Bottom