Toyota starlet carat

Toyota starlet carat

Tanzanite klm

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
478
Reaction score
408
Natanguliza salam nyote humu,kuna hii gari starlet carat nimeiona mahali jamaa kai pimp utasema bmw ilivyokaa hapo mbele,nimevutiwa sana nayo,mwenye uzoefu nazo vipi zinakuaga na tatizo lolote, je ni gari nzuri? Na imara?
 
Starlet ni ngumu na imara kwa michakato ya kuanzia maisha ni poa sana .fuel consumption yake pia iko chini kwa hiyo utafurahia Gari hiyo kuitumia.
 
P
Natanguliza salam nyote humu,kuna hii gari starlet carat nimeiona mahali jamaa kai pimp utasema bmw ilivyokaa hapo mbele,nimevutiwa sana nayo,mwenye uzoefu nazo vipi zinakuaga na tatizo lolote, je ni gari nzuri? Na imara?
poa kiongozi
 
Mkuu kama wewe ni mtunzaji basi mpaka wajukuu wataitumia, spea bwerere huulizi maduka mawili, spare bei chini, mafundi wake wapo na hata wewe waweza kuwa fundi, mafuta glass moja unafika Tanga,
 
Yaani ukishindwa kui tunza au kudumu Na hiyo gari basi ww Fanya ununue punda tuu labda ndio atakufaa.maana garama yake ni nyasi tuu
 
Ad
Mkuu kama wewe ni mtunzaji basi mpaka wajukuu wataitumia, spea bwerere huulizi maduka mawili, spare bei chini, mafundi wake wapo na hata wewe waweza kuwa fundi, mafuta glass moja unafika Tanga,
Asante mkuu
 
Hata kimuomekano naona ipo poa kuliko reflect na soleil
 
Starlet ni gani poa sana, niliuza yangu ila sasa hivi natafuta siipati.
 
Starlet ni gani poa sana, niliuza yangu ila sasa hivi natafuta siipati.
pole sana mkuu ni gari ambayo watu wanaipenda sana ulaji wa mafutaa ni kama unatembelea pikipiki na utunzaji wake spea ni bei chee sana.
 
Nnayo carat..ni gar ambayo inakufichia aibu..me naamaini namiliki boda boda
 
dah/ ngoja?.../ niitafute.../ ya kale rav4 imepita ngoja nianze ni hii...
 
Back
Top Bottom