mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 1,065
- 365
well spoken, kujipanga ujipange haswa !!! Toyota VX V8 200, bila kodi ndani ya nailoni 175 mil Tsh, Prado TX ya kawaida bila manjonjo 135 mil Tsh, Prado Tx (executive) 147 mil. hapo bila kodi zote hizo. sasa ukiinclude na kodi sasa ni habari nyingine, unless otherwise you are about to purchase kwa ajili ya matumizi ambayo yana msamaha wa baadhi ya kodi.
Rizwan sikia Hiyo Mifano yako imekaa kimagamba gamba (Msukule) umetumwa wewe!
Watu wasio na uwezo wapo wengi sana tanzania hii hata Kikwete haelewi kwanini, wewe upo nje unataka watu wafanye kazi kwa bidii zipi?
kazi za Tz kuanzia saa kumi na mbili Mornie hadi giza lianze kuingia kipato ni chini ya dola moja sasa kununua gari mpya tujuavyo si chini ya 20,000 usd labda Tata ile ndogo india wanauza 2500 usd ikifika bongo ni 5000 hadi sita hicho kipato cha chini ya dola moja akikusanye kwa muda wa miaka mingapi aache kula ili anunue gari mpya ? dah sipati picha Watanzania 75% Ni Misukule Nimeamini...
Pesa zinawawasha wakopesheni hao wasio na uwezo wanunue gari Mpya!
OMG....kama bei ndo hizo bac wabongo ss ni matajiri sana mana hayo magari nayaona mengi tu kila kona ya nchi hii...duh