Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hiyo
Habari wa ndugu. Naulizia yard ambayo naweza kupata gari aina ya Totota Town Cruiser. Najua Toyota wanazo ila wanauza mpya na bei zao siziwezi.
Nawasilisha
Andaa pocket tu hata used hutokuja kupata kwa bei ya chini sababu hii model imekuwa discontinued lkn wadau wanaipenda na ndo maana price yake itaendelea kushikilia mulemule, chukulia mfano Toyota FJ Cruiser bado bei zao zimesimama coz toyota ilisimamisha kutengeneza lkn bado zikawa zinapendwa, japo kuna tetesi wataendelea kutengeneza kwa US marketHabari wa ndugu. Naulizia yard ambayo naweza kupata gari aina ya Totota Town Cruiser. Najua Toyota wanazo ila wanauza mpya na bei zao siziwezi.
Nawasilisha
Haionekani huko coz hii model ilitengenezewa India.Hizo gari nenda Kwa wahindi kariakoo utauziwa kwasababu kwenye mitandao ya wauza magari Japan hakuna.
Njoo mtaa wa tandamti/sikukuu lipo moja naliona daily
Haionekani huko coz hii model ilitengenezewa India.
Exactly.Modal hiyo imezagaa sana India hata used kule zipo tu za kutosha
Aaahhh kumbee?Haionekani huko coz hii model ilitengenezewa India.
Ni kitu kimoja Kwa upande upi ? Engine au bodyKwahio hamjui kuwa Toyota Urban Cruiser ndio IST?
I hope you are joking..Kwahio hamjui kuwa Toyota Urban Cruiser ndio IST?
Urban cruiser ni muendelezo wa IST second generation, Ila sema hii urban cruiser walichanganya IST na Vitz ndo ikatoka hiyo urban cruiserI hope you are joking..
Kwanza engine na body ya Urban Cruiser huwezi hata kdg linganisha na IST.
Engine wametoa kwa suzuki brezza pia body inaonekana durable. Ofcoz sijadrive hio gari lkn hata kwa kuangalia tu huwezi linganisha na hio UBER
Fanya research kidogoI hope you are joking..
Kwanza engine na body ya Urban Cruiser huwezi hata kdg linganisha na IST.
Engine wametoa kwa suzuki brezza pia body inaonekana durable. Ofcoz sijadrive hio gari lkn hata kwa kuangalia tu huwezi linganisha na hio UBER
Namshangaa anabisha bila hata kutafiti kidogo.Urban cruiser ni muendelezo wa IST second generation, Ila sema hii urban cruiser walichanganya IST na Vitz ndo ikatoka hiyo urban cruiser
Okay, nimeenda wikipedia nikaona. I missed thatUrban cruiser ni muendelezo wa IST second generation, Ila sema hii urban cruiser walichanganya IST na Vitz ndo ikatoka hiyo urban cruiser
Hio ni latest model kabisa.Ni kitu kimoja Kwa upande upi ? Engine au body