inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
1.2 mpaka 4Mswaki ni bei gani
Ka gari ka hiv kakianza kusunbua njini ni kukauza kama chuma chakavu halafu unaongeza laki 4 unapata kengine kenye namba DVitz inauzwa,ipo Ifakara.Ina issue ya engine,engine iliyopo inasumbua sumbua inahitaji matengenezo au mswaki(Msema kweli kipenzi cha Mungu.Biashara za kuambiana uongo zimepitwa na wakati)
Bei maelewano.
Kwa aliye interested anicheck inbox.
View attachment 2652460View attachment 2652461View attachment 2652462
Engine haipo vizuri sana.Inakosa nguvuNiko Idete Miwangani huku, kama unaelekea Idando. Navuna mpunga wangu. Unaweza kukaleta nikakague?
Ulipata mteja jana hiyo siyo.THE ITEM HAS BEEN SOLD