Toyota Voxy

Toyota Voxy

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,111
Reaction score
2,781
Hello wanandugu zangu ,Kwa wale ambao wanataka kununua Gari aina ya Toyota Voxy wawe wanajua hili Jambo ,Ni ngumu sana kuja kuiuzaa ,Yaani mafundi wanaikandia sana sana wanasema eti inaharibika engine ,Nilikuwa nayo ilinisumbua kuuza karibia miezi 7 sasa ndio jnimefanikiwa kuiuzaa ,halafu wanakupa bei za ajabu sana ,.Please kabla ya kununua uangalie kama utakuja kukaa nayo mpaka ikufie hapo sawa Lakin kama unataka kuja kuiuzaa ufikirie mara mbili .
ASANTENI sana Taifa la mungu ,
 
pole mkuu,ulikurupuka...but lazima ilikuwa ni gari yako ya kwanza,na umeishia kuichukia sana,hata mademu huwa ivo ivo...
 
Duh rafiki yangu kalinunua hivi karibuni bado jipyaa ananiringishia kinoma kila nikimwambia gari hiyo inasemekana ni kimeo ananihakikishia kua gari ni service tuu basi nafarijika sana akiniambia gari ni service tuu mana huniambia kwa konfidensi.
 
Duh rafiki yangu kalinunua hivi karibuni bado jipyaa ananiringishia kinoma kila nikimwambia gari hiyo inasemekana ni kimeo ananihakikishia kua gari ni service tuu basi nafarijika sana akiniambia gari ni service tuu mana huniambia kwa konfidensi.
Duh asubirie wakati wa kuliuza aone moto wake mkuu ,akiliuza akipata milioni 5 ana bahati mkuu .
 
Back
Top Bottom