Toyota wafungua kiwanda kikubwa Mombasa!

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
Kampuni ya Toyota wamezindua bonge la assembly plant hiyo jana huku mombasa....brands kama hilux, rav 4 na fortuner zitaanza huku zingine zikianza mwakani eg probox...hongera mzee kenyatta, kazi yako tunaionaa 🤣 🤣 👏
 
Hongereni sana. Ngoja na sisi tutengeneze miundombinu ya kuwezesha wawekezaji waje wafungue vingi zaidi kuliko huko kwenu
 
Rwanda wakifungua kiwanda cha kuunganisha baskeli dunia inachafuka..

Sasa suburi Tanzania ipate kakiwanda hata ka kichemsha uji.. Watazunguka nchi nzima kujimwambafai...
 
Rwanda wakifungua kiwanda cha kuunganisha baskeli dunia inachafuka..

Sasa suburi Tanzania ipate kakiwanda hata ka kichemsha uji.. Watazunguka nchi nzima kujimwambafai...

Hivi umeelewa mada ni nini hapa!!!?
Ni kwamba Toyota wamefungua tawi la kuunganisha magari Mombasa. Wala si mali au kiwanda cha GoK.
Ni kama vile Tanzania ilivyokuwa na kiwanda cha kuunganisha magari ya Scania cha TAMCO Kibaha. Labda nyie ni vijana wa juzi hamuelewi hili.
 
Kiwanda kikishakuwa nchini mwako ni fursa kwa wananchi na uchumi wa nchi. Serikali hazijengi viwanda, kazi yake ni kuweka mazingira rafiki ili wadau waweke hivyo viwanda. Sisi hapa maneno na misifa ndo imejaa kuliko mikakati.
 
Kiwanda kikishakuwa nchini mwako ni fursa kwa wananchi na uchumi wa nchi. Serikali hazijengi viwanda, kazi yake ni kuweka mazingira rafiki ili wadau waweke hivyo viwanda. Sisi hapa maneno na misifa ndo imejaa kuliko mikakati.

Kwani mi hapo nimesemaje!!!?
Kuna sehemu nimesema serikali ya Kenya ndiyo imejenga kiwanda?
Uwe unatafakari kabla ya kuandika.
 
Bravo Toyota for having a new subsidiary in the bloc.
Thats the spirit of East Africa Community...This new plant definitely will also employ people from the EAC, there will be backward and forward linkages...i mean suppliers from Tz or Uganda will also benefit in one way. Kudos to brotherhood of sister states of EAC
 
Kiwanda kikishakuwa nchini mwako ni fursa kwa wananchi na uchumi wa nchi. Serikali hazijengi viwanda, kazi yake ni kuweka mazingira rafiki ili wadau waweke hivyo viwanda. Sisi hapa maneno na misifa ndo imejaa kuliko mikakati.

Kwani mi hapo nimesemaje!!!?
Kuna sehemu nimesema serikali ya Kenya ndiyo imejenga kiwanda?
Uwe unatafakari kabla ya kuandika.
 
So far the assembly industry directly employees 12,000 people and generates $0.6 Billion annually ... Then next frontier is vehicle parts manufacturing like windows, rubber, electric cables...then after that full tier 1 manufacturing!

___________________

The Head of State said private sector actors should always put the interests of the country first and should adjust their business models to fit into Kenya's development aspirations. “As we implement the “Buy Kenya” agenda, we expect the private sector to reciprocate by investing in full automotive manufacturing; form joint ventures, training and building the capacity of local Small and Medium-sized Enterprises (SMEs) to provide local content inputs,” the President said. The President challenged Toyota to scale up its investments in Kenya from assembling vehicles to tier one component manufacturing and the eventual establishment of a fully integrated vehicle manufacturing plant in the country. He said the government is putting together a National Automotive Policy as part of measures to support local vehicle manufacturers and instructed Trade, Industry and Cooperatives CS Peter Munya to present the policy to Cabinet for approval within three weeks. “The overall objective of the policy is to provide our domestic industry with opportunities to achieve competitiveness in manufacturing of automotive and parts products,” the President said. The policy, will among other provisions, lay down the legal and institutional framework necessary to guarantee regulatory certainty for investors. It will also define the desired knock down kits levels for vehicles and motorcycle assembly as well as articulate the fiscal incentives and other measures needed to stimulate local content development. The policy will also outline the role of Technical and Vocational Education and Training (TVET) in the development of the automotive industry. President Kenyatta said Kenya is positioning itself to take advantage of the huge market created by the adoption of the African Continental Free Trade Area (AfCFTA) which holds an enormous market potential of 1.27 billion people. Toyota has invested Shs1 billion in the new assembly line designed to assemble the new Hilux 4x4 pick-up trucks. Kenya’s motor vehicle assembly industry registered an annual turnover of 600 million USD (including regional dealerships) last year and employs more than 12,000 people. Volkswagen and Peugeot opened new production lines in Kenya in the last two years while General Motors substantially increased their investment in the local assembly of heavy commercial vehicles. Cabinet Secretary Peter Munya, Jomvu MP Badi Twalib and the President of the Toyota Tsusho Corporation Mr Ichiro Kashitani also spoke at the launch event attended by hundreds of the motor industry stakeholders.
Latest News
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…