Unakuta yenyewe new inauzwa $35k ikitumika mwaka mmoja utakuta $15k tatizo ushuru sasa.Zikija huku mafundi michael watataka kunjunga zitumie petrol, mwisho wa siku kuzilipua.
Ila najua mpaka kuja huku itakuwa 2045 na kipindi hicho tutasema ni new model ambayo itakuwa ni model ya 2025.
Kabisa.Unakuta yenyewe new inauzwa $35k ikitumika mwaka mmoja utakuta $15k tatizo ushuru sasa.
Hardtop ni flagshipHardtop ndo gari ambayo inanikosha life time! Wabarikiwe walioiibua!
Hizi zitaanza kuingia bongo kwa wingi 2040!Wengi tukiongelea Toyota IST tunaongelea first gen na 2nd generation, ambazo nchi nyingine ikiwemo America na UK wanaziita Urban Cruise.
View attachment 3175347
Sasa leo, jamaa kutoka JP wamezindua generation nyingine ya Urban Cruise ambayo ni full EV.
View attachment 3175348
Inakuja na power options mbili, kubwa ni AWD, 182 hp dual motor na battery la 61 kWh.
View attachment 3175354
Wakati ndogo ni FWD, single motor inakupa power ya 142 hp na iko na battery la 49 kWh.
View attachment 3175349
Kwa ndani ina screen mbili, ya dereva inch 10 na ya katikati inch 10 pia.
View attachment 3175351
Kuna spika za JBL, Sunroof na ADAS za aina mbali mbali kutegemea na utakayiichagua.
View attachment 3175352
Mzigo upo sokoni kuanzia mwakani 2025.
Hardtop ni flagship
Hio ni gari ya porini, project za pori kwa pori. Kutumia kwa matumizi ya kawaida Mbezi beach=Posta ni waste of resources.Hardtop ndo gari ambayo inanikosha life time! Wabarikiwe walioiibua!
Kuna mtu humu JF nilimwambia Urban Cruza yake ni IST aliwaka balaa!Hapo umeme unauzwa unit 1 kwa Tsh 200.
Hii ni Prado sio Hard Top au mimi ndio sizijui Toyota?
Hii ni Prado sio Hard Top au mimi ndio sizijui Toyota?
Hardtop ndo gari ambayo inanikosha life time! Wabarikiwe walioiibua!