Zimetajwa gari nyingi humu kiongozi, unaongelea zipi zenye injini hiyo ya 1zz?hayo madude yana engine inaitwa 1zz. ni engine ambayo mwanzo itakufurahisha ila baada ya muda inachoka sana, itakula oil sana. toyota wameacha kuitengeneza , wanatumia 2zr badala yake, ila kwa hayo magari haijawa installed.
isis na wish.Zimetajwa gari nyingi humu kiongozi, unaongelea zipi zenye injini hiyo ya 1zz?
kama ni hivyo basi chukua noah mana ina siti nying mpk ukiamua kufanya kitanda inawezekana😀Hii gari ni imara sana, sema tu shep kama ulivyosema.Harafu kipaumbele changu ni gari yenye siti nyingi.
Sijui WISH, binafsi naendesha Toyota Isis, ya mwaka 2008 ya 1800cc. Kwa wastani inakula km 10 - 12 kwa lita. Shida moja tu kubwa niionayo ni kwamba gari ipo chini.Kama unatembea sana kwenye barabara zenye mabonde makubwa inaweza kukufanya usifurahie kuiendesha. Engine inaflow vizuri sana. Gari ina nafasi ya kutosha na kama bila kujali unaendesha kwenye rough road isiyo na mabonde au kwenye lami... Gari inaflow vizuri sana...Wakuu naombeni ushauri, niko mbioni kufanya mchakato wa kupata usafiri. Mimi ni mpenzi wa MPV (Mult Purpose Vehicles) au kwa lugha nyingine Family Cars. Nimependezwa na hizo mbili kwa sababu zote ni 7 seaters na pia injini chini ya 2.0 L. Wadau mnaotumia hizi gari msaada wenu ni muhimu sana ili nifanye maamuzi sahihi. Napenda kufahamu zaidi kuhusu uimara na upatikanaji wa spare parts zake.
Asante Mkuu kwa ushauri wako.Sijui WISH, binafsi naendesha Toyota Isis, ya mwaka 2008 ya 1800cc. Kwa wastani inakula km 10 - 12 kwa lita. Shida moja tu kubwa niionayo ni kwamba gari ipo chini.Kama unatembea sana kwenye barabara zenye mabonde makubwa inaweza kukufanya usifurahie kuiendesha. Engine inaflow vizuri sana. Gari ina nafasi ya kutosha na kama bila kujali unaendesha kwenye rough road isiyo na mabonde au kwenye lami... Gari inaflow vizuri sana...