TOZO|CORONA: Idadi ya watali nchini imepungua kwa 77%, Mapato yatokanayo na utali yameshuka kwa 87%, Je mnaopinga tozo hadi leo mnalijua hili?

Hakukuwa na akiba yoyote ya maana, kwani dhalimu alikuwa ameshachota yote na kupeleka kwenye miradi ya kusaka sifa za kisiasa.
i Gaknchi gani inayo jiendesha bila akiba?

Akiba inakazi gani kama kwenye nyakati za emergency kama hizi hhaitumikigakuki
 





" Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
 
Mungu tunajua Upo,Msimamie mama huyu kila maadui watafunane wenyewe
 
Baba Askofu Benson Lwakalinda Bagonza anauliza

NAOMBA MSAADA

Nahitaji msaada wenu wasomaji wangu:

1. Hivi mwizi akikuibia hela yako halafu akaitumia kukununulia nguo au chakula, kosa la wizi linakuwa limeisha?

2. Mwizi akikuibia shilingi 100 ukapiga kelele akakurudishia 30 na kubaki na 70, unapaswa kumshukuru kuwa ni mwema?

3. Na kiongozi wako akikukuta unafanya biashara ili upate fedha ya kulipia karo na matibabu, akafunga biashara yako na hela akakunyanganya na kukujengea zahanati na shule, anakuwa amekutendea haki?

TOZO TOZO
LUKU LUKU

VYOTE NI KANDAMIZI. HATULIPI KWA HIARI BALI MNACHUKUA KWA NGUVU. MIILI YETU MNAYO, MIOYO TUMEBAKI NAYO.
 
Jibu ni moja tu huo wote ni wizi tu
 
Rais Samia ni mpango halisi wa Mungu,Mungu wetu hakawii wala hawai ni huyuhuyu tumepewa tumlinde,
 
Hawa jamaa ilibidi wapewe hela fixed ya mafuta ndani ya mwezi maybe 2M basi ikiisha hio kila mtu apambane na hali yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…