Puma yetu
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 111
- 125
Haiwezekani wewe Speaker bajeti mbovu inaletwa bungeni inayolenga kuumiza wananchi imekaa unapiga makofi tena unatishia eti wabunge wakigomea bajeti bunge litavunja.
Hamkuwa na nia wala dhamira njema ninyi, mliendekezwa na Mwendazake sasa mnataka makusudi kumuangusha mama 2025, hatutakubali bora muondoke ninyi mtuachie chama chetu. Mlihonga wajumbe 2020 mkiwa na nia ya kwenda kupiga mapambio hamna mnalofanya.
Haiwezekani bunge lenye wabunge 99% wa CCM mmekaa mnapiga makofi mnapitisha bajeti yenye kuumiza kwa kauli moja, bunge limekaa PhD lakini bure kabisa. Huu si uungwana hata kidogo nia yenu si nzima. Wanaccm tuliopo nje hatukufurahia mlichotufanyia kabisa.
Mafuta ya taa tozo, Luku tozo, Miamala ya simu tozo, hivi ninyi mna matatizo gani? Kulikua na ulazima gani wa kupitisha hizi TOZO? Miaka ya nyuma hatukujenga barabara wala huduma zingine hazikuwepo?
Ninyi ni wasaliti no wa taifa hili.
Hamkuwa na nia wala dhamira njema ninyi, mliendekezwa na Mwendazake sasa mnataka makusudi kumuangusha mama 2025, hatutakubali bora muondoke ninyi mtuachie chama chetu. Mlihonga wajumbe 2020 mkiwa na nia ya kwenda kupiga mapambio hamna mnalofanya.
Haiwezekani bunge lenye wabunge 99% wa CCM mmekaa mnapiga makofi mnapitisha bajeti yenye kuumiza kwa kauli moja, bunge limekaa PhD lakini bure kabisa. Huu si uungwana hata kidogo nia yenu si nzima. Wanaccm tuliopo nje hatukufurahia mlichotufanyia kabisa.
Mafuta ya taa tozo, Luku tozo, Miamala ya simu tozo, hivi ninyi mna matatizo gani? Kulikua na ulazima gani wa kupitisha hizi TOZO? Miaka ya nyuma hatukujenga barabara wala huduma zingine hazikuwepo?
Ninyi ni wasaliti no wa taifa hili.