kelvin patrick
Member
- Feb 20, 2017
- 62
- 72
Tatizo hii nchi wameshindwa kukunya kodi vizuri za TRA sababu kuu biashara karibu kubwa zote zinamikono ya viongozi wa hii nchi. Ukiomba risit utapigwa maneno kuwa machne mbovu na mizgo wanayonunua unakuta inapita bandarini bila ushuru.
Matokeo yake wanaona ngoja watumie mbinu yakuwaumiza watu wa chni kwa matozo yakijnga. Na hii pia ni uvivu wakufikria vyanzo vingine vya mapato wanatafuta unafuu sababu ni easy kuipata sababu ipo kwnye system.
Ushauri wangu kwnza tuondoe waziri fedha huyu ambae ni mzigo na tujitokeze katika uchaguzi wa 2025 tuchague upinzani wakutosha hli kupata wasemaji wazuri bungeni ambapo ndio penye maamuzi yote ya muhimu juu ya nchi inavyotkiwa kuendeshwa.
Acheni uvivu na ujinga wa Tanzania.
Matokeo yake wanaona ngoja watumie mbinu yakuwaumiza watu wa chni kwa matozo yakijnga. Na hii pia ni uvivu wakufikria vyanzo vingine vya mapato wanatafuta unafuu sababu ni easy kuipata sababu ipo kwnye system.
Ushauri wangu kwnza tuondoe waziri fedha huyu ambae ni mzigo na tujitokeze katika uchaguzi wa 2025 tuchague upinzani wakutosha hli kupata wasemaji wazuri bungeni ambapo ndio penye maamuzi yote ya muhimu juu ya nchi inavyotkiwa kuendeshwa.
Acheni uvivu na ujinga wa Tanzania.