Recipient
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 425
- 345
Wanabodi,
Kama watanzania tunapitia katika changamoto nyingi lakini kubwa tatu.
Wakati bado serikali halijapatia ufumbuzi malalamiko kuhusu Tozo ya Miamala ambayo bado imekuwa kero kwa wananchi, likaibuka suala la kukamatwa Mbowe anayetuhumiwa kwa makosa ya kupanga ugaidi.
Wakati hili la Mbowe bado halijapoa likaja taarifa za serikali kupokea chanjo ya Johnson and Johnson iliyowasilishwa nchini na kampuni ya usambazaji ya Covax.
Ukweli Tanzania tunapitia kipindi kigumu, kwanza Tozo, pili taarifa ya maambukizi ya corona yaliyoibuka ghafla baada ya kifo cha baba yetu Magufuli, tatu kukamatwa kwa Mbowe, na nne mapokezi ya chanjo ya Johnson and Johnson.
Kama watanzania tunapitia katika changamoto nyingi lakini kubwa tatu.
Wakati bado serikali halijapatia ufumbuzi malalamiko kuhusu Tozo ya Miamala ambayo bado imekuwa kero kwa wananchi, likaibuka suala la kukamatwa Mbowe anayetuhumiwa kwa makosa ya kupanga ugaidi.
Wakati hili la Mbowe bado halijapoa likaja taarifa za serikali kupokea chanjo ya Johnson and Johnson iliyowasilishwa nchini na kampuni ya usambazaji ya Covax.
Ukweli Tanzania tunapitia kipindi kigumu, kwanza Tozo, pili taarifa ya maambukizi ya corona yaliyoibuka ghafla baada ya kifo cha baba yetu Magufuli, tatu kukamatwa kwa Mbowe, na nne mapokezi ya chanjo ya Johnson and Johnson.