Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Kusema kweli toka moyoni, kama mzalendo, naamini tozo inatakiwa kuendelea, though ipunguzwe makali kama mama anavyosema, kwasababu tunahitaji pesa za kuendeshea nchi. Wote wanaopinga ni wale wanaotamani serikali isipate pesa iendelee kutegemea mataifa ya nje.
Pia, nitashangaa sana kama kuna mfanyakazi wa serikali hata mmoja anayepinga hii tozo, kwasababu pia itaboresha maslahi yao wanayolilia kila siku.
Wafanyakazi wanatoka kwenye familia zisizo za wafanya kazi pia, hivyo maisha yenu yakiboresha jueni hata maisha ya wasaio waafanyakazi majumbani kwenu yataboresha, ni njia mojawapo ya kujitegemea kwenye baadhi ya huduma kama nchi. Patauma lakini patazoeleka tu.
Tujikaze tujenge nchi.
Pia, nitashangaa sana kama kuna mfanyakazi wa serikali hata mmoja anayepinga hii tozo, kwasababu pia itaboresha maslahi yao wanayolilia kila siku.
Wafanyakazi wanatoka kwenye familia zisizo za wafanya kazi pia, hivyo maisha yenu yakiboresha jueni hata maisha ya wasaio waafanyakazi majumbani kwenu yataboresha, ni njia mojawapo ya kujitegemea kwenye baadhi ya huduma kama nchi. Patauma lakini patazoeleka tu.
Tujikaze tujenge nchi.