johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kumbe kila jambo na wakati wake hapa Tegeta kwa mangi wa Tigopesa/ M pesa kuna kafoleni fulani watu wakidraw pesa kwa ajili ya shopping ya weekend.
Kiukweli tusitishane kila mtu anapambana kivyake.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kiukweli tusitishane kila mtu anapambana kivyake.
Nawasalimu kwa jina la JMT!