Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Kila ukinunua vocha na kuingiza kwenye simu ili usajili kifurushi unakumbana na tozo/makato ambayo ukija sasa kusajili kifurushi Mtandao unakwambia huna salio la kutosha kusajili kifurushi.
Nafikiri tarrifs za kusajili vifurushi ziangaliwe upya, mfano, vocha ikiwa na thamani ya Tshs.2000, ukiingiza serikali na taasisi zingine zinakata stahili zao labda jumla ya makato ni Tshs. 200, basi Mitandao iweke kwamba airtime/bundle itatolewa kwenye thamani inayobaki ya Tshs. 1,800 ili mteja asilazimike kununua vocha nyingine kwa ajili ya top up kupata Tshs.2000 wakati unakuwa na dharura na huna ela nyingine.
Tutendeane haki ili tusirudi kwenye zama zile za kuandika barua na kupeleka Posta.
Nafikiri tarrifs za kusajili vifurushi ziangaliwe upya, mfano, vocha ikiwa na thamani ya Tshs.2000, ukiingiza serikali na taasisi zingine zinakata stahili zao labda jumla ya makato ni Tshs. 200, basi Mitandao iweke kwamba airtime/bundle itatolewa kwenye thamani inayobaki ya Tshs. 1,800 ili mteja asilazimike kununua vocha nyingine kwa ajili ya top up kupata Tshs.2000 wakati unakuwa na dharura na huna ela nyingine.
Tutendeane haki ili tusirudi kwenye zama zile za kuandika barua na kupeleka Posta.