ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Tuipongeze serikali kwa jitihada inazofanya za kutafuta njia tofauti za kupunguza makali ya maisha kwa kupunguza tozo
Sasa ifikie wakati serikali ione ulazima wa kupunguza ushuru wa magari kwani ni mkubwa mno hata kwa gari lililotumika
Ikumbukwe tu gari ni moja ya nyenzo muhimu ya maendeleo hasa kwa nchi masikini kama yetu
Kumiliki gari si anasa na si dhambi,kodi zikishuka tutashuhudia wakulima vijijini wakimiliki magari yao kwa ajili ya matumizi ya kawaida na mizigo
TRA ushuru ushuke kuwe na uwiano tulipe ushuru kwa % sawa kama tunavyolipia bidhaa nyingine, aipendezi gari yenye thamani ya 6M ije ilipiwe ushuru wa 5M ifikie mahali sasa gari ya thamani ya 6M ushuru uwe laki 8
Ushuru wa gari ulingane na bidhaa nyingine ki %
Vijiji vingi nchini unakuta hakuna gari hata moja!karne hii tuliyonayo hii ni hatari!
Nimalize kwa kurudia kusema gari si anasa kuwa na gari si haramu bali ni nyenzo muhimu ya maendeleokuna mrundi tukiwa nje ya nchi tuliongelea ununuzi wa gari kule na kuleta afrika kwa kweli alishangaa sana aliposikia valuation tax kuingiza gari used nchini mwetu.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sasa ifikie wakati serikali ione ulazima wa kupunguza ushuru wa magari kwani ni mkubwa mno hata kwa gari lililotumika
Ikumbukwe tu gari ni moja ya nyenzo muhimu ya maendeleo hasa kwa nchi masikini kama yetu
Kumiliki gari si anasa na si dhambi,kodi zikishuka tutashuhudia wakulima vijijini wakimiliki magari yao kwa ajili ya matumizi ya kawaida na mizigo
TRA ushuru ushuke kuwe na uwiano tulipe ushuru kwa % sawa kama tunavyolipia bidhaa nyingine, aipendezi gari yenye thamani ya 6M ije ilipiwe ushuru wa 5M ifikie mahali sasa gari ya thamani ya 6M ushuru uwe laki 8
Ushuru wa gari ulingane na bidhaa nyingine ki %
Vijiji vingi nchini unakuta hakuna gari hata moja!karne hii tuliyonayo hii ni hatari!
Nimalize kwa kurudia kusema gari si anasa kuwa na gari si haramu bali ni nyenzo muhimu ya maendeleokuna mrundi tukiwa nje ya nchi tuliongelea ununuzi wa gari kule na kuleta afrika kwa kweli alishangaa sana aliposikia valuation tax kuingiza gari used nchini mwetu.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app