Tozo za Miamala: Ushauri kwa Rais Samia Suluhu

Tozo za Miamala: Ushauri kwa Rais Samia Suluhu

reg edit

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
402
Reaction score
499
Mh. Rais,

Inaonekana hili suala la tozo za serikali kwenye miamala ya simu halijapokelewa vizuri na watanzania walio wengi, hivyo basi mimi nikushauri ujitokeze mbele ya watanzania kwa unyenyekevu kabisa uwaombe watanzania wakubali hizo tozo na uwahakikishie kuwa hizo pesa zitatumika 'effectively' kwenye lengo husika.

Lakini pia hapo hapo utangaze kitu kimoja 'konki' sana kinachohusu kubana matumizi ya serikali yako ambacho kitaonekana na mtanzania yoyote yule, mfano badala ya kuendelea kununua ma-V8 basi zinunuliwe gari za bei ya chini na iwe effectively immediately. Na hapo hapo utangaze kiasi cha pesa kitakachookolewa kwa mwaka huu wa fedha kwa kufanya hilo.

Na ukifanya hivyo basi naamini utapata support ya watanzania, Infact utakua kama ume-balance mambo.

Watanzania wengi tunaona kuwa kodi hazitunufaishi moja kwa moja, badala yake zinawanufaisha wachache wenye madaraka kwa kulipwa posho na mishahara mikubwa.

Yangu ni hayo. Ahsante.


TULIPE KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.
 
Hiyo ni kazi ya Makamo ya Rais, waziri mkuu au waziri wa fedha...
 
Hizo pesa zinaenda kuliwa na wachache, usisubiri maajabu yoyote huyu mama nchi ishamshinda
 
Mh. Raisi,

Inaonekana hili suala la tozo za serikali kwenye miamala ya simu halijapokelewa vizuri na watanzania walio wengi, hivyo basi mimi nikushauri ujitokeze mbele ya watanzania kwa unyenyekevu kabisa uwaombe watanzania wakubali hizo tozo na uwahakikishie kuwa hizo pesa zitatumika 'effectively' kwenye lengo husika.

Lakini pia hapo hapo utangaze kitu kimoja 'konki' sana kinachohusu kubana matumizi ya serikali yako ambacho kitaonekana na mtanzania yoyote yule, mfano badala ya kuendelea kununua ma-V8 basi zinunuliwe gari za bei ya chini na iwe effectively immediately. Na hapo hapo utangaze kiasi cha pesa kitakachookolewa kwa mwaka huu wa fedha kwa kufanya hilo.

Na ukifanya hivyo basi naamini utapata support ya watanzania, Infact utakua kama ume-balance mambo.

Watanzania wengi tunaona kuwa kodi hazitunufaishi moja kwa moja, badala yake zinawanufaisha wachache wenye madaraka kwa kulipwa posho na mishahara mikubwa.

Yangu ni hayo. Ahsante.


TULIPE KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.
Hashauriki tena huyu mama ashalewa madaraka.
 
Yaani unadhani hizo longolongo ndo zitafanya maisha yaliyofanywa magumu na hizi tozo yawe nafuu?.

Huyo mama ameanza kupoteza touch na raia wa kawaida.
 
Mh. Raisi,

Inaonekana hili suala la tozo za serikali kwenye miamala ya simu halijapokelewa vizuri na watanzania walio wengi, hivyo basi mimi nikushauri ujitokeze mbele ya watanzania kwa unyenyekevu kabisa uwaombe watanzania wakubali hizo tozo na uwahakikishie kuwa hizo pesa zitatumika 'effectively' kwenye lengo husika.

Lakini pia hapo hapo utangaze kitu kimoja 'konki' sana kinachohusu kubana matumizi ya serikali yako ambacho kitaonekana na mtanzania yoyote yule, mfano badala ya kuendelea kununua ma-V8 basi zinunuliwe gari za bei ya chini na iwe effectively immediately. Na hapo hapo utangaze kiasi cha pesa kitakachookolewa kwa mwaka huu wa fedha kwa kufanya hilo.

Na ukifanya hivyo basi naamini utapata support ya watanzania, Infact utakua kama ume-balance mambo.

Watanzania wengi tunaona kuwa kodi hazitunufaishi moja kwa moja, badala yake zinawanufaisha wachache wenye madaraka kwa kulipwa posho na mishahara mikubwa.

Yangu ni hayo. Ahsante.


TULIPE KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.
Ye mwenye anashinda hewani na Airbus 220 ile mara Dodoma! Usishangae akirudi atarudia Dar ater 2 days ataenda Dodoma atakaa wiki atarudi Dar kama kunguru tu
 
Mh. Raisi,

Inaonekana hili suala la tozo za serikali kwenye miamala ya simu halijapokelewa vizuri na watanzania walio wengi, hivyo basi mimi nikushauri ujitokeze mbele ya watanzania kwa unyenyekevu kabisa uwaombe watanzania wakubali hizo tozo na uwahakikishie kuwa hizo pesa zitatumika 'effectively' kwenye lengo husika.

Lakini pia hapo hapo utangaze kitu kimoja 'konki' sana kinachohusu kubana matumizi ya serikali yako ambacho kitaonekana na mtanzania yoyote yule, mfano badala ya kuendelea kununua ma-V8 basi zinunuliwe gari za bei ya chini na iwe effectively immediately. Na hapo hapo utangaze kiasi cha pesa kitakachookolewa kwa mwaka huu wa fedha kwa kufanya hilo.

Na ukifanya hivyo basi naamini utapata support ya watanzania, Infact utakua kama ume-balance mambo.

Watanzania wengi tunaona kuwa kodi hazitunufaishi moja kwa moja, badala yake zinawanufaisha wachache wenye madaraka kwa kulipwa posho na mishahara mikubwa.

Yangu ni hayo. Ahsante.


TULIPE KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU.
Tulipe KODI ya kichwa tu baaaaasi!!
Tusitegemee miamala , hela zenyewe za kutuma ziko wapi?
 
Hii serikali imejaa viongozi wanaoendeshwa na tamaa, haiwekzekani waziri wa fedha unayejielewa ukaweka tozo 7, 250/- kwenye mwamala wa elf 50, jamaa wana tamaa ya kupitiliza kufanya anasa kupitia kodi za wananchi.....
 
Hii serikali imejaa viongozi wanaoendeshwa na tamaa, haiwekzekani waziri wa fedha unayejielewa ukaweka tozo 7, 250/- kwenye mwamala wa elf 50, jamaa wana tamaa ya kupitiliza kufanya anasa kupitia kodi za wananchi.....
Kuna kitu kinakuja.
 
Back
Top Bottom