Tozo za simu badala ya kujenga madarasa na zahanati sasa zinanunua magari ya maafisa elimu

Tozo za simu badala ya kujenga madarasa na zahanati sasa zinanunua magari ya maafisa elimu

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Huu ndo unyonge wa mwafrika. Badala ya mambo muhimu ya elimu, Wairi Ummy anajigamba kununua magari ya maafisa elimu. hizo ni pesa za wa-TZ zinatumika kununulia magari ya anasa Japan. Mashuleni hakuna madarasa, hakuna maabara, hakuna nyumba za waalimu. hakuna mabweni na hata madawati bado ni changamoto. Mishahara ya waalimu ni hovyo kabisa, halafu waziri anapanga kuwatafutia usafiri wa serikali, ili iweje? Wakistaafu watakwenda na nyumbani na usafiri?

Ni aibu sana kuwa na viongozi dhaifu kwa kiwango hiki! Viongozi wasiojua elimu ni nini! Yaani hata magari tumeona ni kifaa cha kuinua elimu nchini?
Ummy.JPG
 
Huu ndo unyonge wa mwafrika. Badala ya mambo muhimu ya elimu, Wairi Ummy anajigamba kununua magari ya maafisa elimu. hizo ni pesa za wa-TZ zinatumika kununulia magari ya anasa Japan. Mashuleni hakuna madarasa, hakuna maabara, hakuna nyumba za waalimu. hakuna mabweni na hata madawati bado ni changamoto. Mishahara ya waalimu ni hovyo kabisa, halafu waziri anapanga kuwatafutia usafiri wa serikali, ili iweje? Wakistaafu watakwenda na nyumbani na usafiri?

Ni aibu sana kuwa na viongozi dhaifu kwa kiwango hiki! Viongozi wasiojua elimu ni nini! Yaani hata magari tumeona ni kifaa cha kuinua elimu nchini?
View attachment 2046037
Aiseeee !!!
 
Huu ndo unyonge wa mwafrika. Badala ya mambo muhimu ya elimu, Wairi Ummy anajigamba kununua magari ya maafisa elimu. hizo ni pesa za wa-TZ zinatumika kununulia magari ya anasa Japan. Mashuleni hakuna madarasa, hakuna maabara, hakuna nyumba za waalimu. hakuna mabweni na hata madawati bado ni changamoto. Mishahara ya waalimu ni hovyo kabisa, halafu waziri anapanga kuwatafutia usafiri wa serikali, ili iweje? Wakistaafu watakwenda na nyumbani na usafiri?

Ni aibu sana kuwa na viongozi dhaifu kwa kiwango hiki! Viongozi wasiojua elimu ni nini! Yaani hata magari tumeona ni kifaa cha kuinua elimu nchini?
View attachment 2046037
Ukishaa nunua hiyo tena lazima na gharma za kuyahudumia pia zinatoka kwa hizo tozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupanga ni kuchagua,

Kumbe tunachagua kuwa maskini
 
Back
Top Bottom