Tozo za visima hazina uhalisia - mtazamo wangu

serikali imeshindwa kunisogezea maji, nimetumia hela ya jasho langu kuchimba kisima, mfano cha 6m, siuzi yale maji, nimenunua pump inayotumia umeme wa tanesco, Serikali inapata wapi justification kuja kunidai pesa ya kodi ya maji tena, au mimi sijaelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…