Tozo zimekuwa nyingi sana kwa sasa

Tozo zimekuwa nyingi sana kwa sasa

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu hivi hizi tozo za miamala kwenye bank, tozo kwenye tigo pesa, tutanyooka nasema. Ila mshauri wa uchumi wa nchi hii ni kiboko pamoja na bunge pia kama walikaa na kupitisha hili. Naamanisha kwamba ni maaumivu, hawa wabunge ni wabinafsi, kwa ufupi hawapo kwa ajili ya wananchi, ni wakati sasa Tanzania tunahitaji mgombea binafsi.

Huku Bank tozo, kule Tigopesa tozo, kila pahala ni tozo halafu Rais yeye kila siku ni kusafiri tu. Kimsingi tuweke pesa nyumbani sasa. Maendeleo tunataka ila sio kwa aina hii ya kinyonyaji, huwezi kukata kodi moja kwa pesa hiyohiyo. Serikali yenyewe wanasema hawana pesa sasa, wananchi pesa tunatoa wapi? Embu tuvumiliane kwanza, mtaani bei za ukraine, huyu mtaalamu wa uchumi wa hii nchi ni kiboko.

Leo kutoa Pesa Nmb kwenda tigopesa ni tozo, tigopesa kwenda tigo pesa tozo, sasa huu uchumi wa wapi na unaona kabisa maji yamekorogeka na bei za Ukraine?


==
Soma, Mwigulu Nchemba: Tumefuta baadhi ya tozo, nyingine tumepunguza kwa asilimia 10-50
 
Wakuu hivi hizi tozo za miamala kwenye bank, tozo kwenye tigo pesa, tutanyooka nasema. Ila mshauri wa uchumi wa nchi hii ni kiboko pamoja na bunge pia kama walikaa na kupitisha hili. Naamanisha kwamba ni maaumivu, hawa wabunge ni wabinafsi, kwa ufupi hawapo kwa ajili ya wananchi, ni wakati sasa Tanzania tunahitaji mgombea binafsi.

Huku Bank tozo, kule tigopesa tozo, kila pahala ni tozo halafu Rais yeye kila siku ni kusafiri tu. Kimsingi tuweke pesa nyumbani sasa. Maendeleo tunataka ila sio kwa aina hii ya kinyonyaji, huwezi kukata kodi moja kwa pesa hiyohiyo. Serikali yenyewe wanasema hawana pesa sasa, wananchi pesa tunatoa wapi? Embu tuvumiliane kwanza, mtaani bei za ukraine, huyu mtaalamu wa uchumi wa hii nchi ni kiboko.

Leo kutoa Pesa Nmb kwenda tigopesa ni tozo, tigopesa kwenda tigo pesa tozo, sasa huu uchumi wa wapi na unaona kabisa maji yamekorogeka na bei za ukraine?!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama zinaleta tija kuna shida gani?

Nyie wa mjini Kwani mnajua shida za Vijijini Nyie si mnajiona ndio Binadamu kuliko wengine?

Wakati serikali inaweka tozo ililenga kuboresha Hali za watu wa Vijijini kwa kupata barabara,maji,vituo vya afya nk na matokeo ya tozo ndani ya mwaka mmja kwenye afya ni kama haya hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220817-170713.png
    Screenshot_20220817-170713.png
    50.6 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220816-203211.png
    Screenshot_20220816-203211.png
    87.3 KB · Views: 12
Wakuu hivi hizi tozo za miamala kwenye bank, tozo kwenye tigo pesa, tutanyooka nasema. Ila mshauri wa uchumi wa nchi hii ni kiboko pamoja na bunge pia kama walikaa na kupitisha hili. Naamanisha kwamba ni maaumivu, hawa wabunge ni wabinafsi, kwa ufupi hawapo kwa ajili ya wananchi, ni wakati sasa Tanzania tunahitaji mgombea binafsi.

Huku Bank tozo, kule Tigopesa tozo, kila pahala ni tozo halafu Rais yeye kila siku ni kusafiri tu. Kimsingi tuweke pesa nyumbani sasa. Maendeleo tunataka ila sio kwa aina hii ya kinyonyaji, huwezi kukata kodi moja kwa pesa hiyohiyo. Serikali yenyewe wanasema hawana pesa sasa, wananchi pesa tunatoa wapi? Embu tuvumiliane kwanza, mtaani bei za ukraine, huyu mtaalamu wa uchumi wa hii nchi ni kiboko.

Leo kutoa Pesa Nmb kwenda tigopesa ni tozo, tigopesa kwenda tigo pesa tozo, sasa huu uchumi wa wapi na unaona kabisa maji yamekorogeka na bei za Ukraine?
Wapi wasipotoza Kodi?
 
Wakuu hivi hizi tozo za miamala kwenye bank, tozo kwenye tigo pesa, tutanyooka nasema. Ila mshauri wa uchumi wa nchi hii ni kiboko pamoja na bunge pia kama walikaa na kupitisha hili. Naamanisha kwamba ni maaumivu, hawa wabunge ni wabinafsi, kwa ufupi hawapo kwa ajili ya wananchi, ni wakati sasa Tanzania tunahitaji mgombea binafsi.

Huku Bank tozo, kule Tigopesa tozo, kila pahala ni tozo halafu Rais yeye kila siku ni kusafiri tu. Kimsingi tuweke pesa nyumbani sasa. Maendeleo tunataka ila sio kwa aina hii ya kinyonyaji, huwezi kukata kodi moja kwa pesa hiyohiyo. Serikali yenyewe wanasema hawana pesa sasa, wananchi pesa tunatoa wapi? Embu tuvumiliane kwanza, mtaani bei za ukraine, huyu mtaalamu wa uchumi wa hii nchi ni kiboko.

Leo kutoa Pesa Nmb kwenda tigopesa ni tozo, tigopesa kwenda tigo pesa tozo, sasa huu uchumi wa wapi na unaona kabisa maji yamekorogeka na bei za Ukraine?

Jana Rais ameona wananchi walivyochukizwa na tozo. Ametweet msiba wa mrema lakini wananchi wamereact kuhusu tozo. Atakuwa amejifunza.
 
Wakuu hivi hizi tozo za miamala kwenye bank, tozo kwenye tigo pesa, tutanyooka nasema. Ila mshauri wa uchumi wa nchi hii ni kiboko pamoja na bunge pia kama walikaa na kupitisha hili. Naamanisha kwamba ni maaumivu, hawa wabunge ni wabinafsi, kwa ufupi hawapo kwa ajili ya wananchi, ni wakati sasa Tanzania tunahitaji mgombea binafsi.

Huku Bank tozo, kule Tigopesa tozo, kila pahala ni tozo halafu Rais yeye kila siku ni kusafiri tu. Kimsingi tuweke pesa nyumbani sasa. Maendeleo tunataka ila sio kwa aina hii ya kinyonyaji, huwezi kukata kodi moja kwa pesa hiyohiyo. Serikali yenyewe wanasema hawana pesa sasa, wananchi pesa tunatoa wapi? Embu tuvumiliane kwanza, mtaani bei za ukraine, huyu mtaalamu wa uchumi wa hii nchi ni kiboko.

Leo kutoa Pesa Nmb kwenda tigopesa ni tozo, tigopesa kwenda tigo pesa tozo, sasa huu uchumi wa wapi na unaona kabisa maji yamekorogeka na bei za Ukraine?
Tuwe Watozonia wazalendo tuipende nchi yetu 🚶
 
Kuna watu wanampotosha Rais juu ya tozo, tozo. Namna na mazingira ya tozo yanamuumiza masikini.
 
Leo nimekuta wamekata tozo ya miamala ya Benki toka mwezi Julai hadi tarehe ya leo Desemba 20. Tuela twangu tumeisha twote nimebaki na sh. 2,000 na Xmas ni keshokutwa.
 
Back
Top Bottom