TOZO

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
1,993
Reaction score
2,635
CCM mmesha kosa kura yangu kwa kutulimbikia matozo kwenye Kila kitu, huku sisi Wana Nchi wakawaida umaskini unatutafuna. Aliye buni hii kitu ya tozo.Mungu atamlipa.
 
shikilia hapo hapo mkuu,wanatuongezea tozo huku wao wakijiongezea marupurupu,magari ya kifahari na bado wanafanya ubadhilifu wa mamilioni ya fedha.
 
Lipeni Kodi taifa haliwezi piga hatua ya maendeleo pasipo kulipa Kodi,Kama hutaki ingia kwa road Kama wanaume wa Sudan ila Kama unajifanya shujaa wa keyboard lipa Kodi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nani alikwambia kura yako ni lazima kiongozi wa Tanzania aipate. Hata ukiacha viogozi Tz hawapungukiwi na kura zenu. TOZO kwa sana, hutaki jiue.
 
Hata msipopiga kura watapita tu tena kwa kura nyingi

Oba
Kuna tofauti baina ya kutopiga kura na kuwakataa kwenye kura watu hawa hata kama Dkt. Mahera atatupia miwani ya mbao.
 
CCM mmesha kosa kura yangu kwa kutulimbikia matozo kwenye Kila kitu, huku sisi Wana Nchi wakawaida umaskini unatutafuna. Aliye buni hii kitu ya tozo.Mungu atamlipa.

Hatma yetu iko mikononi mwetu sisi wenyewe. Ukombozi wa nchi una gharama zake.
 
Rais Samia akiwa makamu wa rais enzi za magufuli alisema "Hata mkipiga kura upinzani bado CCM itaunda serikali" hapo inabidi mapinduzi tu basi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…