TP Mazembe mnamuoa kweli binti yetu bi Hindu au unataka kumchezea tu!

TP Mazembe mnamuoa kweli binti yetu bi Hindu au unataka kumchezea tu!

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe juu yenu

Kuelekea Jumamosi siku ndoa ambayo itafungwa kanisa la mtakatifu lumbumbashi kati ya kijana tp mazembe na binti yetu bi Hindu.

Tunaisubiri kwa hamu sana siku hiyo maana binti yetu Bi Hindu amekaa sana nyumban bila mume kwa zaid ya miaka mitano.

Tunaokuomba mazembe umuoe kweli binti yetu bi Hindu wala siyo kumchezea tu


Kumbuka ndoa ya kanisan hakuna kuachana mpaka kifo


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We kolo unajua maana ya jina Simba?
Ni kheri ule na mamba ulomzoea kuliko SIMBA mpita njia
 
Samahan Ndugu Wajumbe kwa Kuchelewa.
Nlikuwa namremba Bi Harusi.
Ahsanteni
IMG-20190406-WA0015.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyura bwana..hivi lile bakuli lenu limeshafika tasaf..maana wabunge naona waliruka kimasai..usawa huu wa JIWE mtatateseka sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom