Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Tujadili Raja kwanza maana kazi wali anzia hapa hatujui watatufanya nini huko CasablancaYanga wameondoka kwenda Congo wakiwa wanajiamini [emoji817], wanasema wanakwenda kumpiga Mazembe huko huko kwao, wanajiamini kuwa kwa sababu walimpiga mabao 3 kwa Mkapa, basi wanakwenda kumpiga tena huko huko kwao.
Sawa sawa ndugu zangu wa Jangwani, hamjakosea, wazungu wanasema you should believe in yourself.
Nataka kuwaaambia TP Mazembe hajafuzu raundi ya robo sio kwa sababu ni wabovu, subirini show huko kwao.Lazima walipize kisasi kwa migoli zaid ya 4 huko kwao.
Tafadhal naomba mkajitahidi huko msije kupoteana kwenye misitu ya M23 mkashindwa kurud.
hiyo ni hamasa na wao wanajua na wapo rede kuupiga na mazembe,ukumbuke nabi kafanya kazi hukoYanga wameondoka kwenda Congo wakiwa wanajiamini [emoji817], wanasema wanakwenda kumpiga Mazembe huko huko kwao, wanajiamini kuwa kwa sababu walimpiga mabao 3 kwa Mkapa, basi wanakwenda kumpiga tena huko huko kwao.
Sawa sawa ndugu zangu wa Jangwani, hamjakosea, wazungu wanasema you should believe in yourself.
Nataka kuwaaambia TP Mazembe hajafuzu raundi ya robo sio kwa sababu ni wabovu, subirini show huko kwao.Lazima walipize kisasi kwa migoli zaid ya 4 huko kwao.
Tafadhal naomba mkajitahidi huko msije kupoteana kwenye misitu ya M23 mkashindwa kurud.
😃😃😃umepiga mle mleTujadili Raja kwanza maana kazi wali anzia hapa hatujui watatufanya nini huko Casablanca
Hao M23 wenyewe wamesema wataweka silaha chini kwa muda ili wapate wasaa wa kumuangalia mutu ya watu Mayele Fiston Kalala...FAMCHEZO NINI!!Yanga wameondoka kwenda Congo wakiwa wanajiamini [emoji817], wanasema wanakwenda kumpiga Mazembe huko huko kwao, wanajiamini kuwa kwa sababu walimpiga mabao 3 kwa Mkapa, basi wanakwenda kumpiga tena huko huko kwao.
Sawa sawa ndugu zangu wa Jangwani, hamjakosea, wazungu wanasema you should believe in yourself.
Nataka kuwaaambia TP Mazembe hajafuzu raundi ya robo sio kwa sababu ni wabovu, subirini show huko kwao.Lazima walipize kisasi kwa migoli zaid ya 4 huko kwao.
Tafadhal naomba mkajitahidi huko msije kupoteana kwenye misitu ya M23 mkashindwa kurud.