chinchilla coat JF-Expert Member Joined May 16, 2016 Posts 5,107 Reaction score 10,969 Jun 29, 2016 #1 Mashabiki wa Tp Mazembe wamejigamba na kusema kuwa Yanga ishukuru kucheza na Tp Mazembe kwa kuwa wamepata umaarufu kwa kuwa wao ni timu kubwa Afrika wamesema kuwa wakifika kwao wataifunga goli tano
Mashabiki wa Tp Mazembe wamejigamba na kusema kuwa Yanga ishukuru kucheza na Tp Mazembe kwa kuwa wamepata umaarufu kwa kuwa wao ni timu kubwa Afrika wamesema kuwa wakifika kwao wataifunga goli tano
B bigonzo JF-Expert Member Joined Feb 23, 2016 Posts 2,914 Reaction score 2,255 Jun 29, 2016 #2 Yanga wamewasaidia sana mashabiki wa Simba wamewaona TP Mazembe...Simba inaishia kucheza na JKT Ruvu tu kila siku
Yanga wamewasaidia sana mashabiki wa Simba wamewaona TP Mazembe...Simba inaishia kucheza na JKT Ruvu tu kila siku
donbeny JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 3,589 Reaction score 3,184 Jun 29, 2016 #3 Tunakubali mpira wametuzidi jana ila hulo kwao august tutapambana nao kama kawa.
Victor wa happy JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 11,660 Reaction score 11,654 Jun 29, 2016 #4 Namwona mtaalamu wa fm academia
M Mbojo JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 1,593 Reaction score 1,309 Jun 29, 2016 #5 Naona vyura wanakoroma hali ya kuwa maji yamekauka.
kilimbamula JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 1,792 Reaction score 853 Jun 29, 2016 #6 Naona huruma, Yanga itapigwa nyingi sana
pachachiza JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,863 Reaction score 2,757 Jun 30, 2016 #7 kilimbamula said: Naona huruma, Yanga itapigwa nyingi sana Click to expand... Naona huruma timu mpk ss haina kocha mkuu!
kilimbamula said: Naona huruma, Yanga itapigwa nyingi sana Click to expand... Naona huruma timu mpk ss haina kocha mkuu!
Jeph tephlon Member Joined Jun 19, 2016 Posts 87 Reaction score 16 Jun 30, 2016 #8 Kama yanga wataendelea na kujituma zaidi watafungwa gol chache wakienda congo,2-0 itakuwa haki yao
Turnkey JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 7,359 Reaction score 5,837 Jul 1, 2016 #9 Mikia ndondo cup inaendelea nendeni mkashabikie,nimemuona jana Ajibu anakata viuno mchangani.ndio size yenu.mpaka mwaka kesho kutwa panapo majaliwa(sio waziri mkuu)
Mikia ndondo cup inaendelea nendeni mkashabikie,nimemuona jana Ajibu anakata viuno mchangani.ndio size yenu.mpaka mwaka kesho kutwa panapo majaliwa(sio waziri mkuu)