Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Huko misri kuna mtu atapigwa 10
Mwarabu asitake kuvunja historia ya goli 8 tu
Hawawezi, hayo yalifanyika huko Morocco mwaka 1998. Wakati Yanga akibugizwa goli 6 - 0 na RajaCasablanca
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema macho yako yamesoma vibaya? kwani hapo niweka video au audio kusema kwamba usikilize?Hatua ya 16? Au masikio yangu nimesikia vbay
[emoji375][emoji375]
Kuna mambo mengine yalifanyika 2019 kule congo wakati simba a.k.a andadogi kala 5 kiganja na As vita. Hii mechi haina hata miezi miwili tangu imechezwa inamana machungu bado yapo kwa mbùmbumbuWaarabu hawa wa leo hawana jeuri hiyo. Hayo mambo yalifanyika mwaka 1998 kule Morocco wakati Yanga ikipigwa goli 6 - 0 na RajaCasablanca
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo mengine yalifanyika 2019 kule congo wakati simba a.k.a andadogi kala 5 kiganja na As vita. Hii mechi haina hata miezi miwili tangu imechezwa inamana machungu bado yapo kwa mbùmbumbu
Pole sana
Pole sana
Kweli mkuu.Kweli Goli 8 - 0 nyingi ila ndio mpira. Hata Arsenal ilishafungwa 8
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga apangwe na nani?Naomba simba aingie atua ya 16 apangwe na mazembe tuje tushudie kiama kingine mtu analambishwa mchanga kama wote.