TP Mazembe Yakalishwa 3 - 0 , Al ahly Yatinga Fainali

TP Mazembe Yakalishwa 3 - 0 , Al ahly Yatinga Fainali

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
TP Mazembe wakiwa Ugenini wamejikuta wakipokea Kipigo Cha Magoli matatu Kwa bila dhidi ya Al ahly na kutolewa hatua ya nusu Fainali Ya michuano ya klabu Bingwa barani Afrika.

Katika mchezo Wa mkondo Wa Kwanza Timu hizo zilitoshana nguvu Kwa Kutoka Suluhu na hivyo kudhihirika kuwa Al ahly ndio klabu Bora namba Moja Barani Afrika.
 
Sio mbaya Ravens tunarudi kujipanga ..uzuri Tajiri la Soka Africa limepunguza siasa hivyo muda wa kukaa na timu anao ..tukutane sokoni kwenye kununua wachezaji
 
nimetafuta uzi wa mamelod sijauona, nimefurahi sana wale mbwa kutolewa.
 
Si alitangaza kuachia ngazi kama board chairman ili ajikite kwenye siasa ?
Siasa kaona ni ngumu kwa sasa uchaguzi ushapita watu wafanye kazi..kipindi hiki anachokua pembeni ktk siasa ,ameamua kuisimamia Timu ,iwape furaha wakongomani
 
Jana am so happy al ahly kuingia fainali, pia nilifurahi mazembe kupigwa ili kuwafunga midomo wanaowachukia waarabu

Al ahly bingwa
 
Back
Top Bottom