Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Anaandika Mdau Wa Ngumi Za Kulipwa Jay Msangi
.
Wacha inyeshe tuone panapovuja ila kiukweli huu uchaguzi wacha ufanyike ila batili na watu wakitaka kuupinga mahakamani unaweza ukafutwa kabisa
Sababu za kuupinga uchaguZi kuwa ni batili ni hizi :
Uchaguzi unaotaka kufanywa ni uchaguzi kujaza nafasi ya raisi wa shirikisho la ngumi za kulipwa tanzania ambayo iliachwa wazi baada ya aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo sir joe anea kuandika barua ya kuomba kujiuzulu
Joe anea aliandika barua ya kuomba kujiuzulu kwa sababu za kiafya kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari
Barua ya joe anea ya kujiuzulu ilitakiwa iletwe kwenyr mkutano mkuu wa wadau/ wanachama na kujadiliwa na mkutano mkuu ndio utakaotoa maaumuzi kama umeridhia sir joe anea ajiuzullu hivyo ndivyo katiba ya tpbrc inavyotaka
Kwa sababu mkutano mkuu haujaitwa nawadau / wanachama hawajapitisha / hawajajibu hiyo barua ya sir joe kujiuzulu basi katiba ya tpbrc bado inamtambua bwana joe anea kuwa ni raisi
Si TPBRC wala bmt hawana mamlaka ya kukiuka katiba bila maridhiano ya mkutano mkuu sasa ni nani alikubali maombi ya sir joe anea kujiuzulu. Mtambue hiyo barua tunayoambiwa sir joe anea ameiandika hakuna mdau/ mwanachama yeyote aliyeiona ila pia tukumbuke barua hiyo ilikuwa ni maombi ambayo mkutano mkuu pekee ndio unaoweza kutoa maamuzi
Tusitengeneze bomu na baadaye watu wakarudi mahakamani kuomba mahakama itutafsirie sheria / katiba yetu tuliyoiandika wenyewe ili ituongoze
Sulusheni: Joe anea arudi kwenye kiti chake au waitishe mkutano mkuu tuijadili barua yake ya kujiuzulu. Katiba bado inamtambua joe anea bado ni rais wa shirikisho la ngumi za kulipwa tanzania na aga peter bado ni makamu wake
Tusiseme tulikuwa hatulijui hili watu wanajipanga
Sent using Jamii Forums mobile app
.
Wacha inyeshe tuone panapovuja ila kiukweli huu uchaguzi wacha ufanyike ila batili na watu wakitaka kuupinga mahakamani unaweza ukafutwa kabisa
Sababu za kuupinga uchaguZi kuwa ni batili ni hizi :
Uchaguzi unaotaka kufanywa ni uchaguzi kujaza nafasi ya raisi wa shirikisho la ngumi za kulipwa tanzania ambayo iliachwa wazi baada ya aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo sir joe anea kuandika barua ya kuomba kujiuzulu
Joe anea aliandika barua ya kuomba kujiuzulu kwa sababu za kiafya kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari
Barua ya joe anea ya kujiuzulu ilitakiwa iletwe kwenyr mkutano mkuu wa wadau/ wanachama na kujadiliwa na mkutano mkuu ndio utakaotoa maaumuzi kama umeridhia sir joe anea ajiuzullu hivyo ndivyo katiba ya tpbrc inavyotaka
Kwa sababu mkutano mkuu haujaitwa nawadau / wanachama hawajapitisha / hawajajibu hiyo barua ya sir joe kujiuzulu basi katiba ya tpbrc bado inamtambua bwana joe anea kuwa ni raisi
Si TPBRC wala bmt hawana mamlaka ya kukiuka katiba bila maridhiano ya mkutano mkuu sasa ni nani alikubali maombi ya sir joe anea kujiuzulu. Mtambue hiyo barua tunayoambiwa sir joe anea ameiandika hakuna mdau/ mwanachama yeyote aliyeiona ila pia tukumbuke barua hiyo ilikuwa ni maombi ambayo mkutano mkuu pekee ndio unaoweza kutoa maamuzi
Tusitengeneze bomu na baadaye watu wakarudi mahakamani kuomba mahakama itutafsirie sheria / katiba yetu tuliyoiandika wenyewe ili ituongoze
Sulusheni: Joe anea arudi kwenye kiti chake au waitishe mkutano mkuu tuijadili barua yake ya kujiuzulu. Katiba bado inamtambua joe anea bado ni rais wa shirikisho la ngumi za kulipwa tanzania na aga peter bado ni makamu wake
Tusiseme tulikuwa hatulijui hili watu wanajipanga
Sent using Jamii Forums mobile app