TPDC iko kwenye maandalizi ya kuchimba visima viwili (utafiti na uhakiki) vitakavyogharimu Sh bilioni 202.6

TPDC iko kwenye maandalizi ya kuchimba visima viwili (utafiti na uhakiki) vitakavyogharimu Sh bilioni 202.6

elivina shambuni

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2018
Posts
461
Reaction score
295
"TPDC iko kwenye maandalizi ya kuchimba visima viwili (utafiti na uhakiki) vitakavyogharimu Sh bilioni 202.6. Mategemeo yetu katika utafiti huu ni kugundua gesi asilia futi za ujazo trilioni 1.032 (TCF). Kisima hiki kitakuwa baharini na ni cha kwanza kwa TPDC” Dk. James Mataragio

1576424714406.png
 
Tunawatakia kazi njema hiyo gesi muipate na mshushe bei ili watu waachame na matumizi ya mkaa na kuni.
"TPDC iko kwenye maandalizi ya kuchimba visima viwili (utafiti na uhakiki) vitakavyogharimu Sh bilioni 202.6. Mategemeo yetu katika utafiti huu ni kugundua gesi asilia futi za ujazo trilioni 1.032 (TCF). Kisima hiki kitakuwa baharini na ni cha kwanza kwa TPDC” Dk. James Mataragio

View attachment 1293454

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good move..

Tukifanikiwa kugundua ni vyema kitalu kikamilikiwa na TPDC..
 
"TPDC iko kwenye maandalizi ya kuchimba visima viwili (utafiti na uhakiki) vitakavyogharimu Sh bilioni 202.6. Mategemeo yetu katika utafiti huu ni kugundua gesi asilia futi za ujazo trilioni 1.032 (TCF). Kisima hiki kitakuwa baharini na ni cha kwanza kwa TPDC” Dk. James Mataragio

View attachment 1293454
Safi Ngoma inasisimua Hadi six packs beneficial s kibao lazima tushangilie hakuna hata haka ya Kufanya mazoezi
 
Asante Sana, nilikua najiuliza kwanini serikali haichimbi visima vyake?!
Sasa naona busara zimetumika.

Angalizo,
Nilidhani dhamira hii ingepelekwa bungeni, ili Bunge li ridhie uchimbaji huu wa gesi kupitia serikali.

Uchimbaji wa gesi ni Kama mchezo wa kamari, ukiliwa unaridhika aukipata ni bonge la bingo.
Hivo ijulikane hizo billion 200 zinaweza potea pale ambapo gesi itakapofikiwa ikiwa ni kidogo kiasi kwamba haiwezi ku sustain operations. Nahivo kuhitajika billion nyingine kadhaa za kufukia na kuondoa mitambo kwenye shimo

Yes! hasara hasaa!
.
Na hapo ndo panatofauti na kamari, kamari ukiliwa unaliwa ile ulio weka, Kwa gesi ukiliwa inabidi ufukie na shimo Kwa gharama zaidi.

Kwanini Bunge lishirikishwe?! Sababu tukiliwa, tuliwe Kama nchi, tusije shikana mashati na baadhi ya watu kuonewa kisiasa.

Hata hivo nappngeza jitihada hizi na tuliombee taifa letu na tufanikiwe kwenye hili.
Hongera Sana walileta na watakaotekeleza Jambo hili.
 
Back
Top Bottom