sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Baada ya ligi kuu Tanzania Bara (TPL) kusimama kwa muda ili kupisha mechi za kimataifa, hatimae inarejea leo kwa mechi kadhaa kuchezwa.
Lakini kabla haijaendekea, hebu tujikumbushe yaliyojiri kabla ligi haijasimama;
1.Azam FC ndio timu yenye rekodi nzuri ya ulinzi (wameruhusu goli 1 tu)
2.Mbeya City wamepachika magoli mengi kuliko timu zote (Magoli 12)
3.Ndanda FC ndio timu iliyofungwa goli nyingi (Magoli 14)
4.Eliud Ambokile anaongoza kwa upachikaji wa magoli (Magoli 6).
5.Alex Kitenge ndio mchezaji pekee aliyefunga Hat-trick (Magoli 3 vs Yanga SC)
NB: Hongereni Yanga SC kwa kua katika hizi 'kumbukizi'.
Lakini kabla haijaendekea, hebu tujikumbushe yaliyojiri kabla ligi haijasimama;
1.Azam FC ndio timu yenye rekodi nzuri ya ulinzi (wameruhusu goli 1 tu)
2.Mbeya City wamepachika magoli mengi kuliko timu zote (Magoli 12)
3.Ndanda FC ndio timu iliyofungwa goli nyingi (Magoli 14)
4.Eliud Ambokile anaongoza kwa upachikaji wa magoli (Magoli 6).
5.Alex Kitenge ndio mchezaji pekee aliyefunga Hat-trick (Magoli 3 vs Yanga SC)
NB: Hongereni Yanga SC kwa kua katika hizi 'kumbukizi'.