TPL: Simba SC vs Alliance FC - October, 24.

Hawa Alliance siku wakistuka kuwa wako ligi kuu... Watakuwa wamechelewa tayari.
Wanacheza kishuleshule sana..
Simba nguvu moja
 
Goal la kwanza mpira ulikuwa ushatoka lakini mshika kibendera kazingua
 
Huyu NDEMLA a.k.a KOREA KASKAZINI anataka kumuua kipa kwa mashuti...
 
Hawa watoto wa shule wanateseka sana.. Okwi anatafuta hatrick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…