TPL: Simba SC vs Alliance FC - October, 24.

Ahaaa, kumbe rais, nilidhani amesema kocha
 
Sasa beki KESSY na GADIEL unategemea nani azuie?
Usimsahau KITENGE alipiga hattrick pale taifa
 
wa kule Anaeweza kupata namba huku labda Yondani tu.
Simba ni moto
 
Hongereni bana Watani zangu ila niseme tu sio jambo la kushangaza na kuwafanya mtaaambe wakati katimu kenyewe kako mkiani. Teh teh.

[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hahaha.. Ilikuaje mkakafunga goli 3 kwa taabu sana?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama nakuona Mtani ulivyolala na furaha kama yote.

Ila sijaona cha kushangaza ujue maana kama sisi Omba omba tulimfunga tatu wewe ulitegemea umfunge ngapi. [emoji3][emoji3][emoji3]
Na hapo najiuliza hivi nilikukosaje kwa mchina! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Leo Ajibu kaomba "apumzike" kwani mgongo unamuuma. Hivi timu haina daktari?
Kwenye nchi ya vipofu chongo ni mfalme. Bado hamjamjua Ajibu lakini muda sio mrefu mtaisoma namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…