Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Ahaaa, kumbe rais, nilidhani amesema kochaMh raisi alishangaa kipa kufungwa magoli mepesi matatu kule cape Verde..huyu Manula atazamwe kwa jicho lingine..isije akawa analilia Tanzania one kama Wema anavyolilia Tanzania sweetheart.... kila Siku anafungwa magoli kutoka nje ya 18.. akitufungisha Lesotho atafute pa kukimbilia ...