Hahahaaaa. Yaani wananifurahisha sana hawa jamaa.Sasa kama uchawi ni mtaji na nyie si muuze wachezaji mnunue uchawi?
Hapo alikuwa anafanya nini?Huyo sio mgeni rasmi.
Nilichotaka kukutaarifu ni kwamba mgeni rasmi alikuwa spika wa bunge.Hapo alikuwa anafanya nini?
πππππ nimecheka sana Mtani.Kweli uchawi upo.
Hahahaaa. Wanatapatapa sana hawa jamaa.Mkuu yaani uchawi leo ndio upo?
Hawana jipya walienda uwanjani na matokeo,pia walikuwa wanacheza ngumi badala ya mpiraHahahaaaa. Yaani wananifurahisha sana hawa jamaa.
πππππ walienda kuogelea rafiki na kupiga maselfie. πππDaah mnatuaibisha bana si nyie mlienda uturuki nyie hadi dakika hii hamjaona lango. Kweli yanga ukuta imara
ππππ Mtani bahati ipi hiyoo?Mna bahati sana siku ya leo.
Hahahaaa. Ndio hivyoooo.Kweli acha yanga iitwe Yanga na acha Simba waumie roho. Kwahiyo ina maana sisi tutaenda nafasi ya Pili wao watabaki pale pale.
Hivi hata na Weye Mtani wangu unaamini hiyo kitu. Duuuh.Asanteni Gongowazi kwa kuturoga. Endeleeni kupenda ushirikina
Hahahaaa. Wakikukumbusha na mie nitag Mkuu. πππJamani Anaekumbuka kauli ya Manara kabla ya hii mechi anikumbushe
Hawana uwezo huo wa kushinda.Tuna golikipa namba one Tanzania na wachezaji wa kimataifa wanaojua kazi yao,wangeanzaje kutufungaHahahaaa. Wanatapatapa sana hawa jamaa.
Wangeshinda hata kamoja hizi kauli zisingekuwepo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππππ nimecheka Dada.Eiish tunapangiana tena simu yangu bundle langu jf pekee ndio kuna mambo ya kupangiana
Mkuu jikaze
Sema wewe rafiki.Wakati mechi inaanza mambo ya ushirikina hayakwepo mmetoa droo mnaanza visingizio
Hahahaaa. LolHawana jipya walienda uwanjani na matokeo,pia walikuwa wanacheza ngumi badala ya mpira
Simba wangefungwa goli moja tu tungezika watu janaZikijaga nyuzi za habari ya Uchawi humu kila mtu anasemaga haamini hiyo kitu ila leo asilimia 90 ya mikia wanaamini Uchawi. Teh teh teh.
Ndio mpira ulivyo jamaani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na unamatokeo matatu na pia punguzeni pere pere hasa mnapokutana na Yanga mpira wa watani wa jadi haujawahi tabirika jamaani. Khaaaaaa.
Kikosi bora bongo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnisamehe Watani zangu tunaoheshimiana. Teh teh.
Shauri yako,sisi target yetu ilikuwa droo nyie wenye viwango target yenu ilikuwa ushindi,we ujiulize nani kafeli nani kafauli plan yake
Sent from my Fero L100 using JamiiForums mobile app