TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

Hebu ukooo. πŸ˜‚πŸ˜‚ Muache Kindoki wetu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mtani utakimbia maandishi yako ujue.
Najua unajua ubovu wa kindoki yani leo sina presha kabisa vyura tunawakaanga na mafuta ya alzeti kutoka kwa ndugu zenu wa singida
 
Sidhani kama yanga atakubari kuburuzwa tena mara mbili mfululizi natabiri sare ya moja moja
Hapa umeongea/umeandika kama Yves Buchana wa BBC swahili katika utabiri wangu pale Ijumaa jioni kwenye Dira ya dunia
 


Msemaji wetu wa Akiba. Kazi Simba Mapenzi na Ushabiki Yanga rejea kitwana Manara na Kassim Manara.

Kwa habari za Yanga baada ya Mpira kuisha zitapatikana kwa Msemaji wetu wa Kujitolea kupitia kurasa zake za kijamii
 
Naona mmekutana mambumbumbu mnajazana ujinga tu. Time is the best answer, subirini hiyo sa 11. Kambi Morogoro kazi uwanjani hatuna mbwembwe za uturuki wala kufuga mabeberu sisi.

Tambwe akiwakosa leo Ajib hawaachi. Usimsahau Makambo
Saa 12 ntaku reply
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…