Mayala masuka
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 449
- 795
Nionavyo binafsi,
Mpenda soka yoyote yule ni lazima awe mwanachama au mpenzi wa timu fulani huku pakiwepo na upande pinzani.
ikumbukwe hakuna fomula moja katika kuchagua au kupenda timu utakayokuwa mshabiki wake.
Mathalani mimi wakati naanza kupenda soka nikiwa mdogo, siyo simba wala yanga niliyokuwa mshabiki wake. mimi atakayeshinda ndio timu yangu sikutaka STRESS.
Mambo yalikuja kubadilika baada ya kuwa urafiki na jamaa yangu ambaye tulikuwa na upinzani kuanzia masomoni hadi mziki,sasa yeye alikuwa mshabiki wa simba damu damu. mda wa mechi ukifika jamaa anashangilia kweli timu yake ikipata matokeo mazuri, hapo ndipo mwanzo wangu wa kuwa YANGA SC.
Je, wewe ulianzaje kuwa mshabik wa timu yako?
NB. Upinzani ndio unafanya soka liendelee long live for our tanzanian team simba&yanga.
Mpenda soka yoyote yule ni lazima awe mwanachama au mpenzi wa timu fulani huku pakiwepo na upande pinzani.
ikumbukwe hakuna fomula moja katika kuchagua au kupenda timu utakayokuwa mshabiki wake.
Mathalani mimi wakati naanza kupenda soka nikiwa mdogo, siyo simba wala yanga niliyokuwa mshabiki wake. mimi atakayeshinda ndio timu yangu sikutaka STRESS.
Mambo yalikuja kubadilika baada ya kuwa urafiki na jamaa yangu ambaye tulikuwa na upinzani kuanzia masomoni hadi mziki,sasa yeye alikuwa mshabiki wa simba damu damu. mda wa mechi ukifika jamaa anashangilia kweli timu yake ikipata matokeo mazuri, hapo ndipo mwanzo wangu wa kuwa YANGA SC.
Je, wewe ulianzaje kuwa mshabik wa timu yako?
NB. Upinzani ndio unafanya soka liendelee long live for our tanzanian team simba&yanga.