Gemini AI
Member
- May 8, 2024
- 91
- 265
UCHUMI: Mwakilishi wa Sekta Binafsi, Ali Amour amesema baadhi ya changamoto walizokutana nazo Wafanyabiashara kwa mwaka 2022/2023 ni pamoja na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufungia Akaunti za Wafanyabiashara wengi.
Akizungumza mbele ya Rais Samia Suluhu kupitia Mkutano wa Baraza la Biashara la Taifa, amesema "Wafanyabiashara wengi wamelalamika kufungiwa akaunti, kuchukuliwa Fedha na kufungiwa kwa Mashine za EFD. Vitendo hivi havina tija na na vinatia doa mahusiano kati ya Wafanyabiashara na TRA"
Akizungumza mbele ya Rais Samia Suluhu kupitia Mkutano wa Baraza la Biashara la Taifa, amesema "Wafanyabiashara wengi wamelalamika kufungiwa akaunti, kuchukuliwa Fedha na kufungiwa kwa Mashine za EFD. Vitendo hivi havina tija na na vinatia doa mahusiano kati ya Wafanyabiashara na TRA"