GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Ndugu wana bodi,
Najua humu ndani ya Jukwaa letu la JF lina wanachama na wapenzi ambao hupitia humu ndani mara kwa mara. Kwa maana hiyo basi , ujumbe unao wekwa humu husomwa na wengi.
Suala ni hivi, watu wa TRA ASCUDA huu ni uzembe wa hali ya juu. Kuna jamaa yangu aliagiza gari na amelipa ushuru kama ilivyokuwa inatatikana na gari tangia Jumatano wiki iliyopita ( 20.03.2013) ilitoka ila mpaka leo hii TRA hawajatoa kadi ya gari. Maelezo aliyoyapata ni kuwa, kuna mama mmoja tu kwenye system yao ya Ascuda ambae anatakiwa aingize data kwenye system , na tangia ijumaa mpaka leo hii hajafika kazini na hana mbadala wake. Kweli huu ni utendaji bora wa kazi kwa mamlaka kubwa kama TRA ambayo inategemewa na uchumi wa nchi ?. TRA tuache kufanya kazi kwa mazoea na kwa utaratibu wa kizamani, kama mtu hayupo wekeni mbadala wake. Mh. Kitilya hebu rekebisheni hili TRA mmekuwa na mfumo mbovu sana.
Najua humu ndani ya Jukwaa letu la JF lina wanachama na wapenzi ambao hupitia humu ndani mara kwa mara. Kwa maana hiyo basi , ujumbe unao wekwa humu husomwa na wengi.
Suala ni hivi, watu wa TRA ASCUDA huu ni uzembe wa hali ya juu. Kuna jamaa yangu aliagiza gari na amelipa ushuru kama ilivyokuwa inatatikana na gari tangia Jumatano wiki iliyopita ( 20.03.2013) ilitoka ila mpaka leo hii TRA hawajatoa kadi ya gari. Maelezo aliyoyapata ni kuwa, kuna mama mmoja tu kwenye system yao ya Ascuda ambae anatakiwa aingize data kwenye system , na tangia ijumaa mpaka leo hii hajafika kazini na hana mbadala wake. Kweli huu ni utendaji bora wa kazi kwa mamlaka kubwa kama TRA ambayo inategemewa na uchumi wa nchi ?. TRA tuache kufanya kazi kwa mazoea na kwa utaratibu wa kizamani, kama mtu hayupo wekeni mbadala wake. Mh. Kitilya hebu rekebisheni hili TRA mmekuwa na mfumo mbovu sana.