Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
wakati nipo chuo cha kodi(institute of tax administration) nilisoma "trade facilitation" na njia mojawapo ambayo idara ya forodha walikubaliana na WTO ni kutumia "automated data system as under Kyoto convection" lengo likiwa ni kurahisisha biashara ya kimataifa.
Huu mpango ni mzuri sana kwa sababu unarahisisha mawasiliana kati ya "customs" na "clearing agents" na mizigo kutoka kwa wakati(kwa nchi makini)
sasa leo vow sipo hapa kuelezea sana juu yake ila kuhoji ni kwa jinsi gani Tanzania ilikuwa imejiandaa kutumia "customs automated data system?"
kwa nini nimeuliza/nimekuwa na shaka kama tulijianda au la?
Hi ni kutokana na adha ambayo wakala wa forodha tunakutana nazo mara kwa mara juu ya "system" kuwa chini na kushindwa kufanya kazi za wateja wetu kwa wakati.
Nina mfano unaoishi 'kuanzia ijumaa ya wiki iliyopgita system ipo chini sana hakuna mawasiliano kati ya tra na wakala wa forodha wala benki zinazohusika kupokea hzo kodi za forodha.
Wale wanaofanya kazi "airport cargo section" au mliotuma/kutumiwa mizigo mtakuwa mmepata hii shida sio tra wala twiga bank wanaweza kufanya kazi pale airport kwa sababu system ipo down.
Mizigo inatakiwa kulipia kodi, unalipiaje wakati hakuna mawasiliano kati ya tra na twiga?
Au wengine wanahitaji kuandikiwa release order" wataandikiwaje wakati system ipo down?
Kinachokera na kinachonifanya nijiulize je tulikuwa tumejianda si system kuwa down ila ni muda iliyokuwa down, embu fikiria kuanzia ijumaa jioni hadi leo muda huu system ipo down, yaani ni kama hakuna syrtem administrator wa kutatua hili tatizo.
Swali langu "je ni kwa kiasi gani tanzania ilijiandaa katika hili?
Huu mpango ni mzuri sana kwa sababu unarahisisha mawasiliana kati ya "customs" na "clearing agents" na mizigo kutoka kwa wakati(kwa nchi makini)
sasa leo vow sipo hapa kuelezea sana juu yake ila kuhoji ni kwa jinsi gani Tanzania ilikuwa imejiandaa kutumia "customs automated data system?"
kwa nini nimeuliza/nimekuwa na shaka kama tulijianda au la?
Hi ni kutokana na adha ambayo wakala wa forodha tunakutana nazo mara kwa mara juu ya "system" kuwa chini na kushindwa kufanya kazi za wateja wetu kwa wakati.
Nina mfano unaoishi 'kuanzia ijumaa ya wiki iliyopgita system ipo chini sana hakuna mawasiliano kati ya tra na wakala wa forodha wala benki zinazohusika kupokea hzo kodi za forodha.
Wale wanaofanya kazi "airport cargo section" au mliotuma/kutumiwa mizigo mtakuwa mmepata hii shida sio tra wala twiga bank wanaweza kufanya kazi pale airport kwa sababu system ipo down.
Mizigo inatakiwa kulipia kodi, unalipiaje wakati hakuna mawasiliano kati ya tra na twiga?
Au wengine wanahitaji kuandikiwa release order" wataandikiwaje wakati system ipo down?
Kinachokera na kinachonifanya nijiulize je tulikuwa tumejianda si system kuwa down ila ni muda iliyokuwa down, embu fikiria kuanzia ijumaa jioni hadi leo muda huu system ipo down, yaani ni kama hakuna syrtem administrator wa kutatua hili tatizo.
Swali langu "je ni kwa kiasi gani tanzania ilijiandaa katika hili?