Naunga mkono kuwa TRA kuna usumbufu na rushwa za hali ya juu na kila namna. Lakini, it takes two to tango, rushwa ni kwa mtoaji na mpokeaji. Kwa nini wateja wa TRA wote wasisuse? I mean kutoa rushwa, kila mmoja agome kutoa rushwa, tuone kama hawajaanza kutafutana mule TRA.