Tra-forodha watafakari athari za maelekezo kwa wasafirishaji mizigo kimataifa (transit)

Tra-forodha watafakari athari za maelekezo kwa wasafirishaji mizigo kimataifa (transit)

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Tanzania ni lango kuu la kupokea,kisafirisha mizigo inayoingia na kutoka ktk nchi takribani 7.Uwekezaji mkubwa ktk bandari zetu na miundombinu ya Reli,barabara,Mabomba na anga ni ushahidi tosha wa umuhimu wa taifa letu kijiografia.

Kila mwaka tunapokea mamilioni ya shehena za mizigo mbali mbali (Containerised,Bulk,Liquidfied,Vehicles,Equipments,etc) inayopita (transit imports,Transit exports) kwenda na kutoka Zambia,Malawi,DRC,Rwanda,Burundi,Zimbabwe,Angola,Uganda na South Sudan.

Ukiacha vituo vya customs vichache asilimia kubwa ya wasafirishaji hubeba dhamana kubwa (Take high risks) kuegesha malori yenye shehena ya mizigo,magari ktk vituo vya mafuta (Kimsingi wenye vituo wamewekeza kwa kijenga yards,Ulinzi na Vyoo/Mabafu)au parking yards binafsi njiani mipaka na mipakani licha ya mahitaji ya sehemu bado kuwa makubwa kuliko uwepo wake.

Sasa katazo lililotolewa linalokataza wasafirishaji kupaki magari yenye mizigo au magari yanayosafirishwa linakinzana na mapana ya uhalisia wa uwepo wa sehemu maalumu,changamoto ya usalama na athali za kisekta.Uwekezaji mkubwa ulipaswa kufanyika rasmi kwa kuzihusisha halmashauri zote zenye kuguswa na sekta ya usafirishaji kimataifa au ktk njia kuu kwenda ktk mataifa jirani.

Kama ambavyo Zambia,Zimbabwe na Africa kusini wamefanya yatengwe maeneo,Parking zijengwe zikiwa na huduma muhimu za kibinadamu,burudani na usalama.Hili lingechochea maendeleo ktk maeneo husika na kukuza mapato na uchumi.

Suala la ukwepaji kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara kwa kuhusisha baadhi ya wafanyakazi wa TRA na wauzaji wa ving’amuzi lipo na linaweza kudhibitiwa kwa kuweka mikakati sawia ikowamo kupunguza kodi ambazo ni kikwazo ktk ufanyaji biashara,Hatua kali baada ya Comprehensive Forenscic lifestyle audits kwa watumishi wa mamlaka..Mwisho Mapapa wa uchepushaji mizigo (Wanajulikana) kushitakiwa,kufungiwa kufanya biashara Tanzania,Kufutiwa leseni zao za kibiashara..

Mwisho,Usalama wa mizigo ya Wateja wanaotumia bandari zetu ni suala muhimu kwa uchumi wa Taifa letu sasa na tuendako..Tusikurupuke ktk maamuzi yanayoweza kuleta usumbufu,madhara na utaabishaji.
 
Tanzania ni lango kuu la kupokea,kisafirisha mizigo inayoingia na kutoka ktk nchi takribani 7.Uwekezaji mkubwa ktk bandari zetu na miundombinu ya Reli,barabara,Mabomba na anga ni ushahidi tosha wa umuhimu wa taifa letu kijiografia.

Kila mwaka tunapokea mamilioni ya shehena za mizigo mbali mbali (Containerised,Bulk,Liquidfied,Vehicles,Equipments,etc) inayopita (transit imports,Transit exports) kwenda na kutoka Zambia,Malawi,DRC,Rwanda,Burundi,Zimbabwe,Angola,Uganda na South Sudan.

Ukiacha vituo vya customs vichache asilimia kubwa ya wasafirishaji hubeba dhamana kubwa (Take high risks) kuegesha malori yenye shehena ya mizigo,magari ktk vituo vya mafuta (Kimsingi wenye vituo wamewekeza kwa kijenga yards,Ulinzi na Vyoo/Mabafu)au parking yards binafsi njiani mipaka na mipakani licha ya mahitaji ya sehemu bado kuwa makubwa kuliko uwepo wake.

Sasa katazo lililotolewa linalokataza wasafirishaji kupaki magari yenye mizigo au magari yanayosafirishwa linakinzana na mapana ya uhalisia wa uwepo wa sehemu maalumu,changamoto ya usalama na athali za kisekta.Uwekezaji mkubwa ulipaswa kufanyika rasmi kwa kuzihusisha halmashauri zote zenye kuguswa na sekta ya usafirishaji kimataifa au ktk njia kuu kwenda ktk mataifa jirani.

Kama ambavyo Zambia,Zimbabwe na Africa kusini wamefanya yatengwe maeneo,Parking zijengwe zikiwa na huduma muhimu za kibinadamu,burudani na usalama.Hili lingechochea maendeleo ktk maeneo husika na kukuza mapato na uchumi.

Suala la ukwepaji kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara kwa kuhusisha baadhi ya wafanyakazi wa TRA na wauzaji wa ving’amuzi lipo na linaweza kudhibitiwa kwa kuweka mikakati sawia ikowamo kupunguza kodi ambazo ni kikwazo ktk ufanyaji biashara,Hatua kali baada ya Comprehensive Forenscic lifestyle audits kwa watumishi wa mamlaka..Mwisho Mapapa wa uchepushaji mizigo (Wanajulikana) kushitakiwa,kufungiwa kufanya biashara Tanzania,Kufutiwa leseni zao za kibiashara..

Mwisho,Usalama wa mizigo ya Wateja wanaotumia bandari zetu ni suala muhimu kwa uchumi wa Taifa letu sasa na tuendako..Tusikurupuke ktk maamuzi yanayoweza kuleta usumbufu,madhara na utaabishaji.

Penye nia pana njia
 
General Image

By LUKE ANAMI
More by this Author

The Lobito Corridor, which links Angola, Zambia and DR Congo’s mining areas, is going to be a game-changer in African trade and transportation of critical minerals, with experts now pushing for setting up of companies to process the minerals along the way.

The Lobito Corridor is the first strategic Global Infrastructure and Investment (PGI) economic corridor launched by US President Joe Biden at the G7 Summit in Japan in May 2023, under the flagship G7 Partnership for Global Infrastructure and Investment initiative.

The project comprises 550-kilometre of rail in Zambia from the Jimbe border to Chingola in the Zambian copperbelt, and 260km of main feeder roads within the corridor.
 
Mtu alietoa tangazo lile nafikiri akapimwa akili, yani gari itoke mbagala na inamatatizo inahitaji service mtu atafute parking ya TRA? wapi hizo parking zilipo? Gari zina Bond, lina king'amuzi bado na pakupark unapangiwa? Huyo officer 💯 anamatatizo ya akili, nakama atakua anapumua mpaka mdahuu nitashangaa sana, kalewa madaraka huyu.
 
Mtu alietoa tangazo lile nafikiri akapimwa akili, yani gari itoke mbagala na inamatatizo inahitaji service mtu atafute parking ya TRA? wapi hizo parking zilipo? Gari zina Bond, lina king'amuzi bado na pakupark unapangiwa? Huyo officer 💯 anamatatizo ya akili, nakama atakua anapumua mpaka mdahuu nitashangaa sana, kalewa madaraka huyu.

Hekima,busara na utashi ktk maradaka nadhani ni muhimu kwa kuzingatia uhalisia wa nchi yetu na safari ya maendeleo tulio nayo..

Sheria zetu tume copy na ku paste toka ktk mataifa yaliondelea hivyo utekelezaji wake si mwepesi
 
Back
Top Bottom